Yanga, Azam, Simba vitani
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
LIGI Kuu ya Tanzania Bara inaendelea leo kwa mechi sita katika viwanja tofauti huku Yanga ikiikaribisha Azam FC katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Yanga, Azam na Simba zitakuwa zikicheza kusaka ushindi katika mechi zao ili zijiweke katika nafasi nzuri katika mbio za kuwania taji la Ligi Kuu Tanzania Bara.
Yanga ina pointi 15 sawa na Azam lakini inaongoza kwa kupachika mabao 13 huku Azam ikiwa na mabao 9, hivyo kila moja itakuwa ikisaka ushindi ili kuongoza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Dec
Azam, Yanga, Simba vitani
LEO ni vita ya namba. Baada ya mapumziko ya mwezi mmoja michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara itaendelea kutimua vumbi katika viwanja sita tofauti, huku Simba, Azam FC na Yanga kila moja ikiingia katika vita ya namba kusaka pointi tatu muhimu.
10 years ago
Mwananchi25 Oct
LIGI KUU BARA: Kumekucha Simba, Yanga, Azam vitani leo
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Azam FC, Yanga vitani
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Azam, Simba zaingia vitani Mapinduzi leo
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Yanga, wanajeshi vitani, Azam, Mtibwa balaa
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Simba, KCC vitani leo .Azam yaua 2-0, Chuoni vs URA sare
c WEKUNDU wa Msimbazi, Simba baada ya juzi kuanza vema michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuifunga AFC Leopards ya Kenya kwa bao 1-0, leo inajitupa tena dimba la Amaan...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
NUSU FAINALI CHALENJI: Yanga, Simba vitani Ethiopia
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Simba, Azam ni kikwazo Yanga