Yanga, wanajeshi vitani, Azam, Mtibwa balaa
Zanzibar. Hatua ya robo fainali ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar inatarajiwa kuendelea leo kwa mechi tatu kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa kwa timu sita kushuka viwanjani kwa muda tofauti kusaka tiketi ya kuingia hatua ya nusu fainali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Azam FC, Yanga vitani
9 years ago
Habarileo12 Dec
Azam, Yanga, Simba vitani
LEO ni vita ya namba. Baada ya mapumziko ya mwezi mmoja michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara itaendelea kutimua vumbi katika viwanja sita tofauti, huku Simba, Azam FC na Yanga kila moja ikiingia katika vita ya namba kusaka pointi tatu muhimu.
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Yanga, Azam, Simba vitani
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
LIGI Kuu ya Tanzania Bara inaendelea leo kwa mechi sita katika viwanja tofauti huku Yanga ikiikaribisha Azam FC katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Yanga, Azam na Simba zitakuwa zikicheza kusaka ushindi katika mechi zao ili zijiweke katika nafasi nzuri katika mbio za kuwania taji la Ligi Kuu Tanzania Bara.
Yanga ina pointi 15 sawa na Azam lakini inaongoza kwa kupachika mabao 13 huku Azam ikiwa na mabao 9, hivyo kila moja itakuwa ikisaka ushindi ili kuongoza...
10 years ago
Mwananchi25 Oct
LIGI KUU BARA: Kumekucha Simba, Yanga, Azam vitani leo
9 years ago
Habarileo23 Oct
Mtibwa yabanwa, Azam yaipumulia Yanga
WAKATI Mtibwa Sugar jana ikishindwa kung’ara Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, Azam imeendelea kukabana na Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Azam ,Yanga na Mtibwa wakubali sare
10 years ago
Michuzi30 Dec
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Yanga kwa Wanajeshi, Azam Sudan