Azam ,Yanga na Mtibwa wakubali sare
Ligi kuu ya Tanzania imeingia kwenye mzunguko wa pili kwa kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali mwishoni mwa juma.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMTIBWA SUGAR WATOKA SARE YA BILA KUFUNGANA NA YANGA
Na MATUKIO NA VIJANA...
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Azam,Yanga sare Mapinduzi Cup.
Timu ya Yanga imetoshana nguvu na Azam FC, kufuatia sare ya bao 1-1 katika Mechi ya Kundi B la michuano ya Mapinduzi Cup 2016
9 years ago
Habarileo13 Dec
Yanga, Simba, Azam zaambulia sare
VINARA wa Ligi Kuu Bara, Azam jana walilazimishwa sare ya mabao 2-2 na Simba katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo23 Oct
Mtibwa yabanwa, Azam yaipumulia Yanga
WAKATI Mtibwa Sugar jana ikishindwa kung’ara Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, Azam imeendelea kukabana na Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
GPL
YANGA VS AZAM NGOMA DROO, WATOKA SARE YA 2-2
Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda (kulia) akijaribu kumtoka beki wa Azam FC. Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akiwa kazini wakati wa mechi ya leo dhidi ya Azam FC. TIMU za Yanga na Azam FC leo zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao 2-2 kwenye mtanange wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Azam yamewekwa kimiani na Didier Kavumbagu katika dakika ya 5… ...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Yanga, wanajeshi vitani, Azam, Mtibwa balaa
Zanzibar. Hatua ya robo fainali ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar inatarajiwa kuendelea leo kwa mechi tatu kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa kwa timu sita kushuka viwanjani kwa muda tofauti kusaka tiketi ya kuingia hatua ya nusu fainali.
10 years ago
Michuzi30 Dec
11 years ago
MichuziAZAM YACHOMOA, YATOKA SARE NA YANGA LEO NESHNO
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania