Azam,Yanga sare Mapinduzi Cup.
Timu ya Yanga imetoshana nguvu na Azam FC, kufuatia sare ya bao 1-1 katika Mechi ya Kundi B la michuano ya Mapinduzi Cup 2016
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Ratiba ya mapinduzi Cup 2016 hii hapa, vigogo vya soka Azam Fc, Yanga watia timu Visiwani!!
Uwanja wa Amaan Zanzibar ambao utakuwa moja ya viwanja vitakavyotimua vumbi katika Michuano ya Mapinduzi Cup 2016 yanayotarajia kuanza jioni ya leo na kesho..
9 years ago
Habarileo13 Dec
Yanga, Simba, Azam zaambulia sare
VINARA wa Ligi Kuu Bara, Azam jana walilazimishwa sare ya mabao 2-2 na Simba katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Azam ,Yanga na Mtibwa wakubali sare
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zv0e1bgizgKs311XYELG*h*KEL0AbMCKzB9AQOX4f0rFZypcw8dBGd4rbJgPu3t8cqTRaxmg4hx*p6rfEX*EUO0N0x6AoVPH/mrwanda.jpg?width=650)
YANGA VS AZAM NGOMA DROO, WATOKA SARE YA 2-2
11 years ago
MichuziAZAM YACHOMOA, YATOKA SARE NA YANGA LEO NESHNO
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Yanga yachanja mbuga mapinduzi Cup
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Yanga yatoa Dozi mapinduzi cup 2016.
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup
TIMU ya Yanga jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Polisi ya humo mabao 4-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zilizopo katika Kundi A ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zao za kwanza, ambapo Yanga iliifunga Jango’mbe kwa mabao 4-0, huku Polisi ikiifunga Shaba ya huko kwa bao 1-0.
Shujaa wa Yanga kwenye mchezo huo alikuwa ni winga wake wa kushoto, Mbrazil Andrey...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Yanga, Azam kamili kwa Mapinduzi
YANGA na Azam FC zinatarajia kuondoka leo kwenda Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza keshokutwa mpaka Januari 13 kwenye uwanja wa Amani mjini Zanzibar.