Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yatoa Dozi mapinduzi cup 2016.

Michuano ya kombe la mapinduzi 2016 imeanza mwanzoni mwa wiki hii visiwani Zanzibar

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya mapinduzi Cup 2016 hii hapa, vigogo vya soka Azam Fc, Yanga watia timu Visiwani!!

IMG_6010

Uwanja wa Amaan Zanzibar ambao utakuwa moja ya viwanja vitakavyotimua vumbi katika Michuano ya Mapinduzi Cup 2016 yanayotarajia kuanza jioni ya leo na kesho..

Ratiba-ya-mapinduzi-cup-bongosoka

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yachanja mbuga mapinduzi Cup

Yanga ilifanikiwa kutinga hatua ya robo fainali katika michuano ya Mapinduzi

 

9 years ago

BBCSwahili

Azam,Yanga sare Mapinduzi Cup.

Timu ya Yanga imetoshana nguvu na Azam FC, kufuatia sare ya bao 1-1 katika Mechi ya Kundi B la michuano ya Mapinduzi Cup 2016

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup

Pg 32 leo

TIMU ya Yanga jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Polisi ya humo mabao 4-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zilizopo katika Kundi A ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zao za kwanza, ambapo Yanga iliifunga Jango’mbe kwa mabao 4-0, huku Polisi ikiifunga Shaba ya huko kwa bao 1-0.
Shujaa wa Yanga kwenye mchezo huo alikuwa ni winga wake wa kushoto, Mbrazil Andrey...

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …

Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]

The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …

Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]

The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA WAFANYA YAO HUKO MAPINDUZI CUP POINTI 9 NA GOLI 9 COUTINHO NI SHEEEDA

Yanga imemaliza hatua ya makundi kwa kuwa na pointi 9 na magoli 9 ni ushindi wa %100 kwenye mashindano hayo ya mapinduzi Yanga baada ya kupata ushindi wa tatu mfululizo.
Yanga imeifunga Shaba kwa bao 1-0  bao lililo fungwa na Coutinho dk ya 86 katika mechi ngumu katika michuano ya Kombe la Mapinduzi kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Pamoja na kushambulia sana na kukosa sana, Yanga walilazimika kusubiri hadi dakika ya 86 wakati Andrey Coutinho alipofunga bao kwa kichwa akiunganisha krosi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam zagawa dozi

Mabao mawili yaliyofungwa na Simon Msuva yalitosha kuipa Yanga ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mgambo JKT iliyokuwa na wachezaji kumi, huku Azam wakiichapa Coastal Union, 2-1.

 

10 years ago

GPL

Jaja aongezewa dozi ya mazoezi Yanga

Straika Mbrazil wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’. Na Goodluck Ngai
KATIKA jitihada za kumfanya awe tishio zaidi msimu ujao, benchi la ufundi la Yanga limeamua kumuongezea programu ya mazoezi straika Mbrazil, Genilson Santos ‘Jaja’. Kuonyesha kwamba Yanga haitaki mchezo, Jaja amekuwa akiendelea kufanyishwa mazoezi hata pale wenzake wanapopumzika.Yanga, juzi Jumamosi asubuhi kwenye Uwanja wa Shule ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani