Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga, Azam zagawa dozi

Mabao mawili yaliyofungwa na Simon Msuva yalitosha kuipa Yanga ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mgambo JKT iliyokuwa na wachezaji kumi, huku Azam wakiichapa Coastal Union, 2-1.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bayern, PSG, Chelsea zagawa dozi

Bayern Munich inakaribia kutwaa ubingwa wa Ujerumani, mabingwa wa Ufaransa, Paris Saint-Germain wanaelekea kutetea taji lao, huku Chelsea ikiendelea kujiimalisha kileleni mwa Ligi Kuu ya England. HISPANIA

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga, Simba, Azam zatoa dozi VPL

Pg 32*Kagera, Prisons, Majimaji zabanwa mbavu, African Sports hoi Ligi kuu

NA WAANDISHI WETU

TIMU za soka za Yanga, Simba na Azam jana zilitoa dozi ya vipigo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizochezwa kwenye viwanja tofauti, huku mabingwa hao watetezi wakiendelea kutamba kileleni mwa ligi hiyo.

Vinara Yanga walijiongezea kasi na kuzidi kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kuwazamisha wenyeji wao Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri,...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara

>Mbeya City, Prisons na Stand United ndizo timu pekee ambazo hazina mchezaji yeyote aliyewahi kucheza Yanga au Simba katika vikosi vyao msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaendelea kutoa ‘dozi’ Z’bar

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili Andrey Coutinho alihitaji dakika saba pekee kuiandikia Yanga bao la kwanza kabla ya Salum Telela kukamilisha hesabu katika kipindi cha pili wakati Yanga ilipoizamisha Shangani mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar

 

10 years ago

GPL

Jaja aongezewa dozi ya mazoezi Yanga

Straika Mbrazil wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’. Na Goodluck Ngai
KATIKA jitihada za kumfanya awe tishio zaidi msimu ujao, benchi la ufundi la Yanga limeamua kumuongezea programu ya mazoezi straika Mbrazil, Genilson Santos ‘Jaja’. Kuonyesha kwamba Yanga haitaki mchezo, Jaja amekuwa akiendelea kufanyishwa mazoezi hata pale wenzake wanapopumzika.Yanga, juzi Jumamosi asubuhi kwenye Uwanja wa Shule ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Yanga yatoa Dozi mapinduzi cup 2016.

Michuano ya kombe la mapinduzi 2016 imeanza mwanzoni mwa wiki hii visiwani Zanzibar

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA: Yanga yaanza kugawa dozi

>Yanga imeanza kazi ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa Tanzania Prisons iliyokuwa pungufu mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani