Yanga, Azam zagawa dozi
Mabao mawili yaliyofungwa na Simon Msuva yalitosha kuipa Yanga ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mgambo JKT iliyokuwa na wachezaji kumi, huku Azam wakiichapa Coastal Union, 2-1.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Bayern, PSG, Chelsea zagawa dozi
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Yanga, Simba, Azam zatoa dozi VPL
*Kagera, Prisons, Majimaji zabanwa mbavu, African Sports hoi Ligi kuu
NA WAANDISHI WETU
TIMU za soka za Yanga, Simba na Azam jana zilitoa dozi ya vipigo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizochezwa kwenye viwanja tofauti, huku mabingwa hao watetezi wakiendelea kutamba kileleni mwa ligi hiyo.
Vinara Yanga walijiongezea kasi na kuzidi kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kuwazamisha wenyeji wao Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri,...
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Yanga yaendelea kutoa ‘dozi’ Z’bar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0SutGFQdzzOPkyHClvCpHUGzGNAK3IioHHfPuheRKcnh5wU14PYnH-m5CglzR6pgKYvBD2Gt6fFGpe81dcAGy3q/jaja.jpg)
Jaja aongezewa dozi ya mazoezi Yanga
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Yanga yatoa Dozi mapinduzi cup 2016.
10 years ago
Mwananchi29 Sep
LIGI KUU BARA: Yanga yaanza kugawa dozi
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.