Yanga yaendelea kutoa ‘dozi’ Z’bar
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili Andrey Coutinho alihitaji dakika saba pekee kuiandikia Yanga bao la kwanza kabla ya Salum Telela kukamilisha hesabu katika kipindi cha pili wakati Yanga ilipoizamisha Shangani mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziUTUMISHI YAENDELEZA KUTOA DOZI MASHINDANO YA MEI MOSI
Timu ya Mpira wa Pete ya Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imeendelea kutoa dozi katika michuano ya Mei Mosi 2014 baada ya kuichachafya CDA Dodoma kwa magoli 42 – 15 katika mchezo uliochezwa jana Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Mchezo huo ulikuwa wa aina yake na ushindani wa sababu CDA inaundwa na wachezaji wazoefu katika mashindano ilhali Ofisi ya Rais Utumishi iliundwa na kikosa cha wachezaji ambao wamewahi kucheza katika ya Taifa ya mpira wa Pete...
10 years ago
GPL
EFM KUTOA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Yanga, Azam zagawa dozi
11 years ago
GPL
Jaja aongezewa dozi ya mazoezi Yanga
10 years ago
Mtanzania01 Oct
Yanga, Simba, Azam zatoa dozi VPL
*Kagera, Prisons, Majimaji zabanwa mbavu, African Sports hoi Ligi kuu
NA WAANDISHI WETU
TIMU za soka za Yanga, Simba na Azam jana zilitoa dozi ya vipigo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizochezwa kwenye viwanja tofauti, huku mabingwa hao watetezi wakiendelea kutamba kileleni mwa ligi hiyo.
Vinara Yanga walijiongezea kasi na kuzidi kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kuwazamisha wenyeji wao Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri,...
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Yanga yatoa Dozi mapinduzi cup 2016.
11 years ago
Mwananchi29 Sep
LIGI KUU BARA: Yanga yaanza kugawa dozi
9 years ago
StarTV14 Nov
TMA yaendelea kutoa tahadhari kwa wananchi
Mamlaka ya hali ya hewa nchini TMA imeendelea kuwakumbusha na kuwatahadharisha wananchi waishio mabondeni juu ya athari za mvua za vuli ambazo zimeanza kunyesha maeneo mbalimbali nchini.
Mvua hizo zimeanza kuonesha madhara kwa wananchi kutokana na kupuuzia agizo la mamlaka husika.
Dr Ladslaus Chang’a ni Mkurugenzi wa Utafiti wa masuala ya hali ya hewa,ambae anasema mvua hizi kwa mujibu wa rekodi za mamlaka ya hali ya hewa zimekuwa zikijirudia katika mwezi novemba kama ilivyotokea Novemba...