Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TMA yaendelea kutoa tahadhari kwa wananchi

Mamlaka ya hali ya hewa nchini TMA imeendelea kuwakumbusha na kuwatahadharisha wananchi waishio mabondeni juu ya athari za mvua za vuli ambazo zimeanza kunyesha maeneo mbalimbali nchini.

Mvua hizo zimeanza kuonesha madhara kwa wananchi kutokana na kupuuzia agizo la mamlaka husika.

Dr Ladslaus Chang’a ni Mkurugenzi wa Utafiti wa masuala ya hali ya hewa,ambae anasema mvua hizi kwa mujibu wa rekodi za mamlaka ya hali ya hewa zimekuwa zikijirudia katika mwezi novemba kama ilivyotokea Novemba...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TMA yatoa tahadhari kwa wananchi kuelekea msimu wa Mvua za Masika

Na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA )imetoa utabir wake wa Mvua  za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo  zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...

 

11 years ago

GPL

TMA YAWAASA WANANCHI KUTOPUUZA TAHADHARI ZITOLEWAZO

Mkurugenzi wa ofisiya Zanzibar, Bw Mohamed Ngwaliakitoa maelezo ya takwimuza hali mbaya yahe wailiyowahi kutokea kwa kipindi cha miaka 50 katika visiwa vya Unguja na Pemba, akisisitiza wananchi kutopuuza tahadhari zitolewazo.
Ofisa Uhusianowa TMABi.Monica Mutoni akitoa elimu kwa umma jinsi ya kupata taarifa za hali yahe wakupitia njia mbalimbali za usambazaji wataarifa hizo kwenye maonesho ya maadhimisho yamiaka 50 ya...

 

5 years ago

Michuzi

Wananchi Chukueni tahadhari msimu wa Mvua za Masika- TMA

Na Karama Kenyunko, globu ya jamii
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA )imetoa utabir wake wa Mvua  za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo  zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...

 

5 years ago

Michuzi

MAKALA: Wananchi Chukueni tahadhari msimu wa Mvua za Masika- TMA


Na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA )imetoa utabir wake wa Mvua  za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo  zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .

Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.

Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...

 

9 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS AITAKA TMA KUTOA TAHADHARI ZA HALI YA HEWA KATIKA MAENEO MADOGOMADOGO NCHINI

Makamu wa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Gharib Bilal akipata maelezo ya huduma za hali ya hewa majini kutoka kwa maafisa wa TMA Bi. Monica Mutoni (Afisa Uhusiano) na Bw. Daud Amasi (Meneja Kanda ya Kusini) kwenye maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani, mkoani Mtwara. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe.Halima Dendego (mwenye kofia)Baadhi ya wadau wa sekta ya bahari nchini wakipata elimu ya hali ya hewa katika maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani yaliyofanyika mkoani...

 

10 years ago

Vijimambo

TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi

Dar es Salaam. Mvua kubwa isiyotabirika inatarajiwa kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hasa katika ukanda wa Pwani ya Kaskazini, maeneo ya Dar es Salaam, Tanga, Unguja na Pemba; pia katika ukanda wa Kaskazini Mashariki kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara.Akitoa taarifa ya hali ya hewa jana kwa Januari na Februari mwaka ujao, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk Agness Kijazi alisema mvua ya msimu katika maeneo hayo inatarajiwa kwisha leo.Hata hivyo,...

 

5 years ago

Michuzi

TMA YATOA TAHADHARI YA KUNYESHA MVUA KUBWA KWA SIKU NNE MFULULIZO

Na Karama Kenyunko globu ya jamii.

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), imetoa tahadhari ya kunyesha kwa Mvua kubwa ndani ya siku nne kuanzia kesho Aprili 17, 2020.

Tahadhari hiyo imetolewa leo Alhamisi Aprili 16, 2020 jijini Dar es Salaam na Meneja wa Kituo  Kikuu cha Utabiri wa Mamlaka hiyo, Samwel Mbuya  ambae amesema amesema mvua hiyo ya siku nne inatarajia kunyesha kuanzia ya April 17 hadi 20 mwaka huu.

Aidha ametaja maeneo yanayotarajia kupata vipindi vya mvua kubwa ni pamoja na Mkoa wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TMA yatoa tahadhari msimu wa mvua

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari  juu ya mwelekeo wa mifumo ya hali ya hewa iliyopo  na athari zake kwa msimu ujao wa mvua za masika, ambao...

 

11 years ago

GPL

CHAMPIONI YAENDELEA KUTOA ZAWADI KWA WAUZA MAGAZETI

Mmoja wa wauza magazeti akipokea zawadi ya mwavuli kutoka kwa Ofisa Usambazaji wa Global, Yohana Nkanda (katikati). Kushoto ni mfanyakazi wa Global, Jimmy Haroub . Mfanyakazi wa Global Publishers,…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani