Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bayern, PSG, Chelsea zagawa dozi

Bayern Munich inakaribia kutwaa ubingwa wa Ujerumani, mabingwa wa Ufaransa, Paris Saint-Germain wanaelekea kutetea taji lao, huku Chelsea ikiendelea kujiimalisha kileleni mwa Ligi Kuu ya England. HISPANIA

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Man U yapangwa na Bayern,Chelsea na PSG

Manchester United imepangwa kukipiga na Bayern Munich katika hatua ya robo fainali ya kombe la mabingwa barani ulaya

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam zagawa dozi

Mabao mawili yaliyofungwa na Simon Msuva yalitosha kuipa Yanga ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mgambo JKT iliyokuwa na wachezaji kumi, huku Azam wakiichapa Coastal Union, 2-1.

 

11 years ago

Mwananchi

Man United kwa Bayern, Chelsea kwa PSG

>Manchester United wametupwa kwa mabingwa watetezi  Bayern Munich katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa, huku Chelsea wakipangwa na Paris St-Germain.

 

11 years ago

StarTV

Bayern yashinda,Barcelona yafungwa na PSG.

Kitimtim cha klabu bingwa barani Ulaya kiliendelea tena usiku wa kuamkia leo huku zikishuhudiwa nyasi za viwanja kadhaa zikiwaka moto kuruhusu wababe wa soka kutoka nchi mbalimbali wakizitafuta point tatu muhimu.

 
Nchini Ufaransa wenyeji Paris St Germany (PSG), waliikaribisha timu ya Barcelona, hadi mwisho wa mchezo huo wenyeji PSG wakaibuka washindi kwa jumla ya mabao 3-2.

 
Nchini Urusi wenyeji CSKA MOSCOW wameangukia pua baada ya kufungwa goli 1-0 na wababe wa soka wa Ujerumani Bayern...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bayern Munich, PSG robo fainali UEFA

Timu ya Bayern Munich ya Ujerumani na Paris St. Germain ya Ufaransa zimesonga mbele katika hatua ya robo fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kivumbi leo UEFA, Bayern,PSG kufa kupona

Mzunguko wa pili hatua ya robo fainali ligi ya mabingwa barani Ulaya kutimua vumbi Jumanne usiku

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yalazwa 1-3 na PSG

Wawakilishi wa Uingereza Chelsea walilazwa mabao 3-1 na PSG .

 

11 years ago

Mwananchi

Chelsea v Atletico, Real v Bayern

Mabingwa watetezi Bayern Munich watawavaa mabingwa mara tisa Real Madrid wakati Chelsea wataivaa Atletico Madrid kwa mujibu wa ratiba ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa iliyopangwa jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani