Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man United kwa Bayern, Chelsea kwa PSG

>Manchester United wametupwa kwa mabingwa watetezi  Bayern Munich katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa, huku Chelsea wakipangwa na Paris St-Germain.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Man U yapangwa na Bayern,Chelsea na PSG

Manchester United imepangwa kukipiga na Bayern Munich katika hatua ya robo fainali ya kombe la mabingwa barani ulaya

 

11 years ago

Mwananchi

Bayern, PSG, Chelsea zagawa dozi

Bayern Munich inakaribia kutwaa ubingwa wa Ujerumani, mabingwa wa Ufaransa, Paris Saint-Germain wanaelekea kutetea taji lao, huku Chelsea ikiendelea kujiimalisha kileleni mwa Ligi Kuu ya England. HISPANIA

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United kuzikabili Barca na Psg

Timu ya Manchester United watakwenda nchini Marekani kujiwinda na msimu ujao baada ya msimu huu kumalizika.

 

11 years ago

Mwananchi

Man City kwa Barca, Arsenal kwa Bayern hapatoshi Ulaya

Manchester City watakuwa na kibarua kizito mbele ya Barcelona katika  mechi za mtoano hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa.

 

5 years ago

NBCSports.Com

Key battles: Chelsea v. Bayern; Real Madrid v. Man City

Key battles: Chelsea v. Bayern; Real Madrid v. Man City  NBCSports.comUEFA Champions League Round of 16 Tues/Wed Live Chat  Never Manage AloneChampions League top scorers 2019-20: Haaland & Lewandowski lead the way  Goal.comSterling fit to face Real Madrid as Guardiola laments loss of Hazard for Champions League tie  BeSoccer ENMinimum Points Needed for Champions League Qualification & Premier League Survival  90minView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Mwananchi

Man Utd yapeta, Arsenal kwa Bayern

Arsenal imetupwa kwa Bayern Munich wakati Manchester United ikipewa vibonde katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa, huku Lionel Messi akitwaa tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka wa Ulaya.

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..

Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]

The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani