Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man United kuzikabili Barca na Psg

Timu ya Manchester United watakwenda nchini Marekani kujiwinda na msimu ujao baada ya msimu huu kumalizika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Man United, Barca zapigwa chini Ulaya

Bayern Munich na Atletico Madrid zimetinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kushinda mechi zao za marudiano za robo fainali zilizochezwa jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Man United kwa Bayern, Chelsea kwa PSG

>Manchester United wametupwa kwa mabingwa watetezi  Bayern Munich katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa, huku Chelsea wakipangwa na Paris St-Germain.

 

11 years ago

BBCSwahili

Man U yapangwa na Bayern,Chelsea na PSG

Manchester United imepangwa kukipiga na Bayern Munich katika hatua ya robo fainali ya kombe la mabingwa barani ulaya

 

11 years ago

Mwananchi

Man City: Barca ilibebwa

Kocha wa Manchester City, Manuel Pellegrini amesema mwamuzi Jonas Ericksson wa Sweden aliipendelea Barcelona na ndiyo maana iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye uwanja wa Etihad juzi.

 

10 years ago

Africanjam.Com

TRANSFER NEWS: MANCHESTER UNITED AND PSG INCHING CLOSER TO ANGEL DI MARIA DEAL..

Angel Di Maria's proposed move from Manchester United to Paris St-Germain is "close" to being decided, says the French team's coach Laurent Blanc.The Argentina midfielder has not joined United on their pre-season tour of America, and manager Louis van Gaal has said he "does not know why".
"There is a good possibility he could sign but there is nothing official," said Blanc after a defeat by Chelsea."We have to have patience a little longer. The outcome is very close."French paper L'Equipe has...

 

10 years ago

Mwananchi

Barca yashinda, Man City yafa

Hispania. Barcelona imeanza vizuri msimu mpya wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Apoel Nicosia, katika mchezo uliochezwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Nou Camp.

 

11 years ago

BBC

Man City draw Barca in Champions League

Ivory Coast international Didier Drogba is handed a reunion with Chelsea in the Champions League round of 16.

 

10 years ago

Mwananchi

Man City wapewa Barca 16 bora Ligi ya Mabingwa Ulaya

Nyon, Uswisi. Droo ya hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imepangwa jana huku Manchester City wakikutana na Barcelona.

 

9 years ago

MillardAyo

Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka PSG, kisa? nahodha wa PSG Thiago Silva kaamu hivi ….

Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden ambaye ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa Sweden mara 10 Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka katika klabu yake ya Paris Saint Germain ya Ufaransa. Mshambuliaji huyo ambaye mkataba wake unamalizika mwezi June 2016 na anatajwa kutaka kuhama klabu hiyo. Sababu za Zlatan Ibrahimovic kutaka kuihama klabu ya PSG, ni kutokana na […]

The post Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka PSG, kisa? nahodha wa PSG Thiago Silva kaamu hivi …. appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani