Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka PSG, kisa? nahodha wa PSG Thiago Silva kaamu hivi ….

Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden ambaye ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa Sweden mara 10 Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka katika klabu yake ya Paris Saint Germain ya Ufaransa. Mshambuliaji huyo ambaye mkataba wake unamalizika mwezi June 2016 na anatajwa kutaka kuhama klabu hiyo. Sababu za Zlatan Ibrahimovic kutaka kuihama klabu ya PSG, ni kutokana na […]

The post Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka PSG, kisa? nahodha wa PSG Thiago Silva kaamu hivi …. appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

ZLATAN IBRAHIMOVIC MBIONI KUITOSA PSG

Zilianza tetesi za hapa na pale lakini hakukua na neno lolote linalomhusisha Zlatan moja kwa moja lakini hivi sasa mambo yamekua tofauti kidogo.Baada ya kushinda Quadruple na PSG, Zlatan anatafuta nafasi nyingine na kushinda Champions League kwenye misimu inayokuja. Kuhusu Super Swedish striker imeripotiwa kwamba hivi sasa yupo wazi kurudi AC Milan, ila ameacha tu nafasi kwa AC Milan kuishawishi PSG kuumuza kwao.
Kutokana na AC Milan kuwa na muwekezaji mpya kutoka Thailand kuna uwezekano...

 

10 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: ZLATAN IBRAHIMOVIC FANTASTIC TEAM GOAL IN A 2 - 0 WIN AGAINST MANCHESTER UNITED..







Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

Africanjam.Com

WATOTO WA BRAZIL WENYE MWONEKANO KAMA WA DAVID LUIZ NA THIAGO SILVA..


David Luiz na Thiago Silva ambao wakua marafiki tangu wapo wadogo hadi leo wamekua wachezaji wakubwa, sasa hawa watoto wawili ni kivutio kikubwa sana tangu mwaka jana wakati wa World Cup.
Siku ya mechi ya Mexico Vs Brazil ambapo Brazil walishinda kwa 2-0 ikiwa ni sehemu ya kujiandaa na mashindano ya Copa America. Kitu kilichovutia zaidi kwenye mechi hiyo ni watoto wawili ambao wanafanana sana na David na Thiago.
Majina yao ni Lyan na Murilo ambapo waliingia kama watoto wanaosindikiza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 06.06.2020: Havertz, Grealish, Chilwell, Thiago Silva, Sane, Aarons

Manchester United imeweka kipaumbele katika usajili wa nahodha wa Aston Villa Jack Grealish, 24, msimu huu - lakina inaweza kubadili mipango yake ikiwa mchezaji Kai Havertz wa klabu ya Bayer Leverkusen atapatikana.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 10.06.2020: Sancho, Havertz, Aubameyang, James, Thiago Silva, Hojbjerg

Chelsea inaamini kwamba mshambuliaji wa Borussia Dortmund na England Jadon sancho , 20, atajiunga na Man United hivyobasi inamnyatia kiungo wa kati wa Bayer Leverkusen na Ujerumani Kai Havertz. (ESPN)

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Di Maria kujiunga na PSG

Mchezaji wa Manchester United Angel Di Maria amewaeleza wakuu wa kilabu ya PSG nchini Ufaransa kwamba anataka kujiunga na kilabu hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yalazwa 1-3 na PSG

Wawakilishi wa Uingereza Chelsea walilazwa mabao 3-1 na PSG .

 

11 years ago

BBCSwahili

PSG yaifunza soka Leverkusen

Paris St-Germain iliilaza Bayer Leverkusen 4-0 katika mchuano wa ligi ya mabingwa barani Ulaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani