Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka PSG, kisa? nahodha wa PSG Thiago Silva kaamu hivi ….
Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden ambaye ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa Sweden mara 10 Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka katika klabu yake ya Paris Saint Germain ya Ufaransa. Mshambuliaji huyo ambaye mkataba wake unamalizika mwezi June 2016 na anatajwa kutaka kuhama klabu hiyo. Sababu za Zlatan Ibrahimovic kutaka kuihama klabu ya PSG, ni kutokana na […]
The post Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka PSG, kisa? nahodha wa PSG Thiago Silva kaamu hivi …. appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-bQlHbp0qcnI/VXiTrkqetGI/AAAAAAAACAo/q-lPhBKWUSg/s72-c/Zlatan-Ibrahimovicv2.jpg)
ZLATAN IBRAHIMOVIC MBIONI KUITOSA PSG
![](http://1.bp.blogspot.com/-bQlHbp0qcnI/VXiTrkqetGI/AAAAAAAACAo/q-lPhBKWUSg/s400/Zlatan-Ibrahimovicv2.jpg)
Kutokana na AC Milan kuwa na muwekezaji mpya kutoka Thailand kuna uwezekano...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-EnjobnqH1_k/Vbno3o9gv1I/AAAAAAAAC9A/TCRDyINV73k/s72-c/Screen-Shot-2015-07-30-at-05.27.48.png)
VIDEO: ZLATAN IBRAHIMOVIC FANTASTIC TEAM GOAL IN A 2 - 0 WIN AGAINST MANCHESTER UNITED..
![](http://2.bp.blogspot.com/-EnjobnqH1_k/Vbno3o9gv1I/AAAAAAAAC9A/TCRDyINV73k/s1600/Screen-Shot-2015-07-30-at-05.27.48.png)
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-h5S303Sjf1A/VXXcCRCgrnI/AAAAAAAAB-Y/vlGsLBrQMns/s72-c/34.jpg)
WATOTO WA BRAZIL WENYE MWONEKANO KAMA WA DAVID LUIZ NA THIAGO SILVA..
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5S303Sjf1A/VXXcCRCgrnI/AAAAAAAAB-Y/vlGsLBrQMns/s400/34.jpg)
David Luiz na Thiago Silva ambao wakua marafiki tangu wapo wadogo hadi leo wamekua wachezaji wakubwa, sasa hawa watoto wawili ni kivutio kikubwa sana tangu mwaka jana wakati wa World Cup.
Siku ya mechi ya Mexico Vs Brazil ambapo Brazil walishinda kwa 2-0 ikiwa ni sehemu ya kujiandaa na mashindano ya Copa America. Kitu kilichovutia zaidi kwenye mechi hiyo ni watoto wawili ambao wanafanana sana na David na Thiago.
Majina yao ni Lyan na Murilo ambapo waliingia kama watoto wanaosindikiza...
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 06.06.2020: Havertz, Grealish, Chilwell, Thiago Silva, Sane, Aarons
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 10.06.2020: Sancho, Havertz, Aubameyang, James, Thiago Silva, Hojbjerg
11 years ago
Mwananchi08 Jul
BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Di Maria kujiunga na PSG
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
PSG yaifunza soka Leverkusen