Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZLATAN IBRAHIMOVIC MBIONI KUITOSA PSG

Zilianza tetesi za hapa na pale lakini hakukua na neno lolote linalomhusisha Zlatan moja kwa moja lakini hivi sasa mambo yamekua tofauti kidogo.Baada ya kushinda Quadruple na PSG, Zlatan anatafuta nafasi nyingine na kushinda Champions League kwenye misimu inayokuja. Kuhusu Super Swedish striker imeripotiwa kwamba hivi sasa yupo wazi kurudi AC Milan, ila ameacha tu nafasi kwa AC Milan kuishawishi PSG kuumuza kwao.
Kutokana na AC Milan kuwa na muwekezaji mpya kutoka Thailand kuna uwezekano...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka PSG, kisa? nahodha wa PSG Thiago Silva kaamu hivi ….

Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden ambaye ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa Sweden mara 10 Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka katika klabu yake ya Paris Saint Germain ya Ufaransa. Mshambuliaji huyo ambaye mkataba wake unamalizika mwezi June 2016 na anatajwa kutaka kuhama klabu hiyo. Sababu za Zlatan Ibrahimovic kutaka kuihama klabu ya PSG, ni kutokana na […]

The post Zlatan Ibrahimovic anataka kuondoka PSG, kisa? nahodha wa PSG Thiago Silva kaamu hivi …. appeared first on...

 

10 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: ZLATAN IBRAHIMOVIC FANTASTIC TEAM GOAL IN A 2 - 0 WIN AGAINST MANCHESTER UNITED..







Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zlatan:Wachezaji wa Chelsea wana 'utoto'

Wachezaji wa Chelsea walijifanya kama watoto wakati wa tukio lililosababisha Zlatan Ibrahimovic kupewa kadi nyekundu,

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 26.03.2020: Ibrahimovic, Smalling, Ceballos

Mshambuliaji wa Sweden Zlatan Ibrahimovic anayechezea AC Milan na mchezi wa Paris St-Germain na Uruguay Edinson Cavani uenda wakasajiliwa Leeds United dirisha la uhamisho wa wachezaji lilipofunguliwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 24.02.2020: Tetesi za uhamisho wa Zlatan, Smalling, Mkhitaryan, Phillips, Kostic

Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa klabu wa AC Milan Paolo Maldini anasema Mswidi Zlatan Ibrahimovic, mwenye umri wa miaka 38, amefanya marekebisho ya kipengele cha mkataba wake iwapo Wataliano watafuzu kuingia Championi. (Mail)

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yalazwa 1-3 na PSG

Wawakilishi wa Uingereza Chelsea walilazwa mabao 3-1 na PSG .

 

10 years ago

BBCSwahili

Di Maria kujiunga na PSG

Mchezaji wa Manchester United Angel Di Maria amewaeleza wakuu wa kilabu ya PSG nchini Ufaransa kwamba anataka kujiunga na kilabu hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Di Maria ajiunga na PSG ya Ufaransa

Klabu ya Paris St-Germain imekamilisha usajili wa kiungo wa kati wa Manchester United Angel Di Maria kwa kitita cha pauni milioni 44.3.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani