Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 10.06.2020: Sancho, Havertz, Aubameyang, James, Thiago Silva, Hojbjerg
Chelsea inaamini kwamba mshambuliaji wa Borussia Dortmund na England Jadon sancho , 20, atajiunga na Man United hivyobasi inamnyatia kiungo wa kati wa Bayer Leverkusen na Ujerumani Kai Havertz. (ESPN)
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 06.06.2020: Havertz, Grealish, Chilwell, Thiago Silva, Sane, Aarons
Manchester United imeweka kipaumbele katika usajili wa nahodha wa Aston Villa Jack Grealish, 24, msimu huu - lakina inaweza kubadili mipango yake ikiwa mchezaji Kai Havertz wa klabu ya Bayer Leverkusen atapatikana.
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 15.06.2020: Grealish, Sancho, Aubameyang, Alonso, Havertz, Ndidi
Manchester United yakaza kamba zaidi kuhakikisha inamsajili kiungo wa kati Jack Grealish
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 25.06.2020: Ndombel, Aubameyang, Koulibaly, Sancho, Silva, Alcantara, Fernandes,
Mchezaji wa Tottenham aliyesaini kandarasi iliovunja rekodi ya dau la £54m Tanguy Ndombele, 23, amemwambia mkufunzi wake Jose Mourinho kwamba hataki tena kucheza chini yake. Paris St-Germain, Barcelona na Bayern Munich zote zinamnyatia kiungo huyo wa kati wa Ufaransa. (ESPN)
5 years ago
BBCSwahili19 May
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 19.05.2020: Havertz, Higuain ,Martinez, Koulibaly, Silva, Lazaro
Wolves wameongeza mkataba wa mlinda mlango wa kiingereza John Ruddy,33, kwa mwaka mmoja zaidi.
5 years ago
BBCSwahili28 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 28.06.2020: Sancho, Kepa, Havertz, Ronaldinho, Koulibaly, Rabiot
Borussia Dortmund wanaamini winga wao Muingereza Jadon Sancho atasalia katika klabu hiyo, kwani hawajapokea ombi lolote la kutaka kumnunua mchezaji huyo. (Sport Buzzer, via Goal).
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 20.02.2020: Messi, Sancho, Werner, Jesus, Icardi, Kai Havertz,
Timo Warner asema huenda hayupo tayari kujiunga na Liverpool licha ya kuisifu kuwa "timu nzuri zaidi duniani."
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Tetesi za soka Ulaya Jumanne 17.06.2020: Willian, Sancho, Bale, Allan, Silva, Dembele, Werner
Manchester United imeonesha nia ya kumtaka Willian, Everton ikiendeleza azma yake ya kumsaka mchezaji wa Napoli Allan na mengine mengi.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Tetesi za soka Ulaya Jumatano 08.04.2020: Mbappe, Soumare, Silva, Bolasie, Carlos, Torreira.
Klabu ya Real Madrid imeahirisha mipango yake ya kumsajili mshambuliaji nyota wa Ufaransa Kylian Mbappe, 21, kutoka Paris Saint-Germain mpaka 2021 kutokana na janga la virusi vya corona. (AS)
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 21.04.2020: Kane, Sancho, Mbappe, Partey, Aubameyang
Wacheza kamari wanaipigia chapuo zaidi United kumsaini Kane pamoja na Sancho,20.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
05-May-2025 in Tanzania