Tetesi za soka Ulaya Jumatano 08.04.2020: Mbappe, Soumare, Silva, Bolasie, Carlos, Torreira.
Klabu ya Real Madrid imeahirisha mipango yake ya kumsajili mshambuliaji nyota wa Ufaransa Kylian Mbappe, 21, kutoka Paris Saint-Germain mpaka 2021 kutokana na janga la virusi vya corona. (AS)
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 23.04.2020: Neymar, Cavani, Mbappe, James, Karius, Partey, Bolasie
Chelsea wana haja ya kumsajili beki wa Leicester Ben Chilwell,23.
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 10.06.2020: Sancho, Havertz, Aubameyang, James, Thiago Silva, Hojbjerg
Chelsea inaamini kwamba mshambuliaji wa Borussia Dortmund na England Jadon sancho , 20, atajiunga na Man United hivyobasi inamnyatia kiungo wa kati wa Bayer Leverkusen na Ujerumani Kai Havertz. (ESPN)
5 years ago
BBCSwahili06 May
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 6.5.2020: Pogba, Ramsey, Fernandes, Pepe, Mbappe, Willian, Chiesa
Manchester Unitedinafikiria kumsajili kiungo wa kati wa Juventus na Wales Aaron Ramsey, 29, kama sehemu ya makubaliano ya mabadilishano na mchezaji wa Ufaransa Paul Pogba, 27. (Express)
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Tetesi za soka Ulaya Jumatano 11.03.2020: Lacazette, Werner, Mbappe, Bellingham, Sidibe, Doku, Pochettino
Real Madrid huenda ikamtimua kocha wake Zinedine Zidane na kumuajiri aliyekuwa kocha wa Tottenham Mauricio Pochettino au aliyekuwa kocha wa Juventus Massimiliano Allegri.
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Tetesi za soka Ulaya Jumanne 18.02.2020: Sterling, Guendouzi, Smalling, Werner, Soumare
Raheem Sterling, 25, kusalia Manchester City licha ya klabu hiyo kupigwa marufuku kushiriki michuano ya Ulaya.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 16.05.2020: Jesus, Sane, Kroos, Weghorst, Vinicius, Torreira
Real Madrid bado wana nia ya kumnunua Erling Braut Haaland na watamfuatilia mshambuliaji huyo wa miaka 19- leo Jumamosi wakati Borussia Dortmund watarejea uwanjani katika ligi kuu ya Ujerumani.
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi tarehe 21.03.2020: Matic, Zaha, Willian, Soumare, Boga, Pjanic, Alaba
Ligi ya Primia kwa mara nyingine tena inachunguza jinsi ya kucheza michoze ndani ya nyumba wakati huu wa mzozo wa coronavirus ili kukamilisha msimu wa soka . (Independent)
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Tetesi za soka Ulaya Jumapili 26.04.2020 :Aubameyang, Pogba, Sancho, Neymar, Mbappe
Rais wa Real Madrid Florentino Perez bado ana ndoto ya kufikia makubaliano ya kumsaini mshambuliaji wa Paris St-Germain Neymar.
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 10.04.2020: Messi, Grealish, Mbappe, Pedro, Coutinho
Mshambuliaji wa Barcelona na Argentina Lionel Messi, 32, amekanusha kwa kupitia mitandao ya kijamii ripoti kuwa ana mpango wa kuhamia klabu ya Inter Milan. (Instagram)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania