Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za soka Ulaya Jumanne 18.02.2020: Sterling, Guendouzi, Smalling, Werner, Soumare

Raheem Sterling, 25, kusalia Manchester City licha ya klabu hiyo kupigwa marufuku kushiriki michuano ya Ulaya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatau 17.02,.2020: Guardiola, Sterling, Solskjaer, Werner, Magalhaes, Morrison

Pep Guardiola atasalia kuwa mkufunzi wa Manchester City hata kama klabu hiyo itashindwa kukabiliana na marufuku ya kutoshiriki ligi ya Championship kwa miaka miaka miwili . (Mirror)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 5.5.2020: Werner, Pogba, Camavinga, Partey, Ozil, Neymar

Klabu ya Uturuki ya Fenerbahce inaripotiwa kuwa katika mipango ya kumsajili kiungo wa Arsenal Mesut Ozil

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 03.03.2020: Pogba ,Sancho, Werner, Holgate, Lozano,Sturridge

Kiungo wa kati wa Ufaransa Paul Pogba, 26, atarejea katika mazoezi ya kikosi cha kwanza Manchester United wiki hii na anapania kubuni ushirikiano uwanjani na Bruno Fernandes aliyejiunga na klabu hiyo Januari.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumanne 17.06.2020: Willian, Sancho, Bale, Allan, Silva, Dembele, Werner

Manchester United imeonesha nia ya kumtaka Willian, Everton ikiendeleza azma yake ya kumsaka mchezaji wa Napoli Allan na mengine mengi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumanne tarehe 02.06.2020: Messi, Willian, Werner, Ighalo, Luiz, Wilson

Chelsea wanafikiria kubadili uamuzi wao kwa kumsaini mshambuliaji wa RB Leipzig Timo Werner,24, ikiwa Mjerumani huyo ataonesha nia utayari wa kuhama. (ESPN)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumanne tarehe 25.02.2020: Aubameyang, Werner, Sancho, Fuchs, Matic, Xhaka

Kiungo wa kati wa Manchester United Nemanja Matic, 31, anatarajiwa kuondoka wakati mkataba wake utakapokwisha mwishoni mwa msimu huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumanne 16.06.2020: Tarkowski, Werner, Hakimi, Benrahma, Van de Beek, Partey

Leicester City wanapambana na Crystal Palace kuwania usajili wa beki wa kati wa Burnley James Tarkowski, 27. (Mirror)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 24.02.2020: Tetesi za uhamisho wa Zlatan, Smalling, Mkhitaryan, Phillips, Kostic

Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa klabu wa AC Milan Paolo Maldini anasema Mswidi Zlatan Ibrahimovic, mwenye umri wa miaka 38, amefanya marekebisho ya kipengele cha mkataba wake iwapo Wataliano watafuzu kuingia Championi. (Mail)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 26.03.2020: Ibrahimovic, Smalling, Ceballos

Mshambuliaji wa Sweden Zlatan Ibrahimovic anayechezea AC Milan na mchezi wa Paris St-Germain na Uruguay Edinson Cavani uenda wakasajiliwa Leeds United dirisha la uhamisho wa wachezaji lilipofunguliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani