Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za soka Ulaya Jumapili 26.04.2020 :Aubameyang, Pogba, Sancho, Neymar, Mbappe

Rais wa Real Madrid Florentino Perez bado ana ndoto ya kufikia makubaliano ya kumsaini mshambuliaji wa Paris St-Germain Neymar.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 21.04.2020: Kane, Sancho, Mbappe, Partey, Aubameyang

Wacheza kamari wanaipigia chapuo zaidi United kumsaini Kane pamoja na Sancho,20.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 17.05.2020:Mbappe, Pogba, Rabiot, Mane, Dennis, Bogarde

Juventus inakaribia kuafikia makubaliano ya kumsaini Paul Pogba,27 kutoka klabu ya Manchester United.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 19.04.2020: Sancho, Vidal, Mari, Mbappe, Edouard, Disasi

Mshambuliaji wa Paris St-Germain na Ufaransa France Kylian Mbappe, 21, thamani yake itapungua hadi euro milioni 35 kutoka 40 baada ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 15.03.2020: Euro 2020, Mahrez, Aubameyang, Bailey, Kondogbia, Neymar, Mane

Huenda Uefa ikaahirisha Euro 2020 hadi Desemba ili kutoa fursa kwa Ligi ya Premier na mashindano mengine ya vilabu kumalizika baada ya kutokea kwa janga la Corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 24.05.2020: Pogba, Sancho, Aguero, Willian, Koulibaly, Rabiot

Wakala wa Paul Pogba Mino Raiola ameanza mazungumzo na Juventus kuhusu uhamisho, lakini Real Madrid na Paris St-Germain pia wanamtolea macho kiungo huyo wa Machester United

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 16.02.2020: Pogba, Rabiot, Ramsey, Pierre-Emerick Aubameyang, Werner, Tierney

Juventus inapanga kuwatoa Aaron Ramsey na Adrien Rabiot kwa Manchester United kujaribu kumrejesha mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa Paul Pogba

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 22.03.2020: Alisson, Philippe Coutinho, Virgil van Dijk, Jadon Sancho, Neymar

Chelsea, Manchester United, Arsenal na Tottenham zinamwania kiungo wa kati wa Barcelona na Brazil Philippe Coutinho, 27, ambaye anataka kurejea katika ligi ya premia. (Mirror)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Jumapili tarehe 31.05.2020: Pogba,Berbatov, Torreira, Sancho,

Manchester United wameridhia pendekezo la kiungo wa kati Mfaransa Adrien Rabiot, 25, kujumuishwa katika mpango wa kubadilishana wachezaji, ili Juventus imchukue Paul Pogba, 27. (Calciomercato - via Express)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 14.04.2020: Mbappe, Haaland, Sancho, Torres, Ighalo, Onana

Real Madrid wana mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland, 19, kutoka Borussia Dortmund mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani