Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 14.04.2020: Mbappe, Haaland, Sancho, Torres, Ighalo, Onana

Real Madrid wana mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland, 19, kutoka Borussia Dortmund mwaka huu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 21.04.2020: Kane, Sancho, Mbappe, Partey, Aubameyang

Wacheza kamari wanaipigia chapuo zaidi United kumsaini Kane pamoja na Sancho,20.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 13.03.2020: Partey, Belotti, Ighalo, Willian, Onana

Arsenal inajiandaa kuwasilisha ombi la kumsajili mchezaji wa Atletico Madrid Thomas Partey. Kiungo huyo wa Ghana, 26, ana kifungu cha pauni mmilioni 45 ili kuondoka katika klabu hiyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 27.03.2020: Haaland, Ighalo, Pogba, Pedro, Gabriel

Mshambuliaji wa Manchester United Odion Ighalo mwenye miaka 30, amepewa ofa ya kuongezewa mkataba wa miaka miwili na timu yake ya China Shanghai Shenhua huku mshahara ukipanda mpaka paundi 400,000 kwa wiki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 26.04.2020 :Aubameyang, Pogba, Sancho, Neymar, Mbappe

Rais wa Real Madrid Florentino Perez bado ana ndoto ya kufikia makubaliano ya kumsaini mshambuliaji wa Paris St-Germain Neymar.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 19.04.2020: Sancho, Vidal, Mari, Mbappe, Edouard, Disasi

Mshambuliaji wa Paris St-Germain na Ufaransa France Kylian Mbappe, 21, thamani yake itapungua hadi euro milioni 35 kutoka 40 baada ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 23.05.2020: Coutinho, Willian, Haaland, Sancho, Pochettino, Kavertz

Baada ya kutaka kurejea ligi ya Primia sasa Philippe Coutinho wa Kiungo wa kati wa Barcelona na Brazil anamezewa mate na timu kadhaa

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 06.03.2020: Ighalo,Kokcu,Mbappe, Magalhaes, Edouard,Ceballos, Cakir

Mshambuliaji wa Manchester United Mnigeria Odion Ighalo, 30, ambaye anachezea klabu hiyo kwa mkopo kutoka Shanghai Shenhua inayoshiriki Super League ya China, huenda akapewa mkataba wa kudumu Old Trafford. (Mail)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 13.05.2020: Bale, Ndombele, Sancho, Ighalo, Pogba, Messi

Newcastle wako tayari kutumia £53m kumpata mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale, 30, mpango ambao ukifanikiwa utamrejesha ntota huyo katika ligi kuu ya England msimu huu

 

5 years ago

BBCSwahili

tetesi za soka Ulaya Jumanne 07.04.2020: Sancho, Martinez, Traore, Lingard, Giroud

Barcelona wanataka kumsajili mshambuliaji wa Argentina Lautaro Martinez, 22, kutoka klabu ya Inter Milan lakini wanakabiliana na ushindani mkali kutoka kwa Real Madrid na Manchester City. (Marca)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani