Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 27.03.2020: Haaland, Ighalo, Pogba, Pedro, Gabriel

Mshambuliaji wa Manchester United Odion Ighalo mwenye miaka 30, amepewa ofa ya kuongezewa mkataba wa miaka miwili na timu yake ya China Shanghai Shenhua huku mshahara ukipanda mpaka paundi 400,000 kwa wiki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 04.05.2020: Rakitic, Pogba, Ndombele, Pedro, Mkhitaryan, Bakayoko

Tottenham inaongoza katika kinyang'anyiro cha kutaka kumsajili kiungo wa kati wa Barcelona na Croatia, 32, Ivan Rakitic. (Mundo Deportivo - in Spanish)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 14.04.2020: Mbappe, Haaland, Sancho, Torres, Ighalo, Onana

Real Madrid wana mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland, 19, kutoka Borussia Dortmund mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 25.03.2020: Mane, Sterling, Thiaw, Pogba, Haaland, Cucurella

Winga wa Manchester City na England Raheem Sterling, 25, bado ana mapenzi na Liverpool licha ya kuondoka klabuni hapo kwa mazingira ya chuki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 10.04.2020: Messi, Grealish, Mbappe, Pedro, Coutinho

Mshambuliaji wa Barcelona na Argentina Lionel Messi, 32, amekanusha kwa kupitia mitandao ya kijamii ripoti kuwa ana mpango wa kuhamia klabu ya Inter Milan. (Instagram)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 26.06.2020: Arthur, Pjanic, Pedro, Bellingham, Willian

Kiungo wa kati wa Barcelona na Brazil Arthur, 23, anakaribia kukubali uhamisho wa kima cha euro 72.5 milioni kuelekea Juventus

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 22.05.2020: Umtiti, Koulibaly, Pjanic, Haaland, Rabiot

Barcelona wamepunguza bei ya kumuuza beki wao wa kati Samuel Umtiti wakati huu ambapo klabu za Manchester United na Arsenal zinamnyatia mchezaji huyo. (Sport - in Spanish)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 13.05.2020: Bale, Ndombele, Sancho, Ighalo, Pogba, Messi

Newcastle wako tayari kutumia £53m kumpata mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale, 30, mpango ambao ukifanikiwa utamrejesha ntota huyo katika ligi kuu ya England msimu huu

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 13.03.2020: Partey, Belotti, Ighalo, Willian, Onana

Arsenal inajiandaa kuwasilisha ombi la kumsajili mchezaji wa Atletico Madrid Thomas Partey. Kiungo huyo wa Ghana, 26, ana kifungu cha pauni mmilioni 45 ili kuondoka katika klabu hiyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 06.03.2020: Ighalo,Kokcu,Mbappe, Magalhaes, Edouard,Ceballos, Cakir

Mshambuliaji wa Manchester United Mnigeria Odion Ighalo, 30, ambaye anachezea klabu hiyo kwa mkopo kutoka Shanghai Shenhua inayoshiriki Super League ya China, huenda akapewa mkataba wa kudumu Old Trafford. (Mail)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani