Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 13.03.2020: Partey, Belotti, Ighalo, Willian, Onana

Arsenal inajiandaa kuwasilisha ombi la kumsajili mchezaji wa Atletico Madrid Thomas Partey. Kiungo huyo wa Ghana, 26, ana kifungu cha pauni mmilioni 45 ili kuondoka katika klabu hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 14.04.2020: Mbappe, Haaland, Sancho, Torres, Ighalo, Onana

Real Madrid wana mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland, 19, kutoka Borussia Dortmund mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumanne tarehe 02.06.2020: Messi, Willian, Werner, Ighalo, Luiz, Wilson

Chelsea wanafikiria kubadili uamuzi wao kwa kumsaini mshambuliaji wa RB Leipzig Timo Werner,24, ikiwa Mjerumani huyo ataonesha nia utayari wa kuhama. (ESPN)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 26.06.2020: Arthur, Pjanic, Pedro, Bellingham, Willian

Kiungo wa kati wa Barcelona na Brazil Arthur, 23, anakaribia kukubali uhamisho wa kima cha euro 72.5 milioni kuelekea Juventus

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 24.04.2020: Werner, Willian, Sancho, Vertonghen, Dalot, Coutinho

Manchester United wanafikiria kumuuza mchezaji wa nafasi ya ulinzi Diogo Dalot, 21, kwenda PSG.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 27.03.2020: Haaland, Ighalo, Pogba, Pedro, Gabriel

Mshambuliaji wa Manchester United Odion Ighalo mwenye miaka 30, amepewa ofa ya kuongezewa mkataba wa miaka miwili na timu yake ya China Shanghai Shenhua huku mshahara ukipanda mpaka paundi 400,000 kwa wiki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 06.03.2020: Ighalo,Kokcu,Mbappe, Magalhaes, Edouard,Ceballos, Cakir

Mshambuliaji wa Manchester United Mnigeria Odion Ighalo, 30, ambaye anachezea klabu hiyo kwa mkopo kutoka Shanghai Shenhua inayoshiriki Super League ya China, huenda akapewa mkataba wa kudumu Old Trafford. (Mail)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 22.02.2020: Jota, Silva, Hodgson, Onana, Allegri, Sterling

Manchester United huenda ikamsajili mshambuliaji wa Wolves na Ureno Diogo Jota, 23. (Calciomercato) msimu ujao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 21.04.2020: Kane, Sancho, Mbappe, Partey, Aubameyang

Wacheza kamari wanaipigia chapuo zaidi United kumsaini Kane pamoja na Sancho,20.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 5.5.2020: Werner, Pogba, Camavinga, Partey, Ozil, Neymar

Klabu ya Uturuki ya Fenerbahce inaripotiwa kuwa katika mipango ya kumsajili kiungo wa Arsenal Mesut Ozil

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani