Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 13.05.2020: Bale, Ndombele, Sancho, Ighalo, Pogba, Messi
Newcastle wako tayari kutumia £53m kumpata mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale, 30, mpango ambao ukifanikiwa utamrejesha ntota huyo katika ligi kuu ya England msimu huu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili01 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 01.04.2020: De Ligt, Pogba, Sanchez, Bale and Ramsey
Manchester United wanajiandaa kutangaza dau la kumnunua beki wa Juventus na Uholanzi Matthijs de Ligt
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 22.04.2020: Coutinho, Sancho, Werner, Bale, Karius, Jimenez
Kiungo wa Monaco Cesc Fabregas, 32 , amedokeza mpango wa kuhamia LIgi kuu ya Soka Marekani, akisema yeye ni mpenzi wa ligi hiyo.
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Tetesi za soka Ulaya Jumatano tarehe 03.06.2020: Chilwell, Pogba, Almada, Sancho, Lacazette
Chelsea wamemuweka mchezaji wa nafasi ya ulinzi wa Leicester Ben Chilwell,23, katika mpango wao wa uhamisho lakini inaweza kuwagharimu mpaka kiasi cha pauni milioni 85 kumnasa mchezaji huyo. (Athletic)
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 13.04.2020: Sancho, Ndombele, Rodriguez, Mertens, Mkhitaryan
Winga wa Borussia Dortmund na England Jadon Sancho, 20, hana mpango wa kujiunga na Chelsea, hatua ambayo inaiweka Manchester United katika nafasi nzuri ya kupata saini yake japo Real Madrid pia wanapigiwa upatu kumsajili nyota huyo. (Diario Madridista, in Spanish)
5 years ago
BBCSwahili04 May
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 04.05.2020: Rakitic, Pogba, Ndombele, Pedro, Mkhitaryan, Bakayoko
Tottenham inaongoza katika kinyang'anyiro cha kutaka kumsajili kiungo wa kati wa Barcelona na Croatia, 32, Ivan Rakitic. (Mundo Deportivo - in Spanish)
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 30.04.2020: Reguilon, Pochettino, Sane, Sancho, Ndombele, Pedro, Edouard
Arsenal wameripotiwa kuwasiliana na Real Madrid kuhusu uhamisho wa beki wa Uhispania Sergio Reguilon, 23, ambaye yupo Sevilla kwa mkopo. (ABC, via Star)
5 years ago
BBCSwahili29 May
Tetetsi za Soka Ulaya Ijumaa 29.05.2020: Lallana, Coutinho, Bale, Fraser, Sidibe, Ighalo, Sancho
Leicester wamempatia kiungo wa kati wa Liverpool Adam Lallana, ofa ya mkataba wa kudumu. Mkataba wa kiungo huyo wa kimataifa wa England, Anfield unakamilika mwisho wa mwezi Juni. (Football Insider)
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 18.03.2020: Bale, Mahrez, Martinez, Trippier, Mkhitaryan
Real Madrid wanapanga mikakati itakayomuwezesha mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale, 30, kuondoka kwa uhamisho bila malipo. (Marca)
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Tetesi za soka Ulaya Jumanne 17.06.2020: Willian, Sancho, Bale, Allan, Silva, Dembele, Werner
Manchester United imeonesha nia ya kumtaka Willian, Everton ikiendeleza azma yake ya kumsaka mchezaji wa Napoli Allan na mengine mengi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania