Man City kwa Barca, Arsenal kwa Bayern hapatoshi Ulaya
Manchester City watakuwa na kibarua kizito mbele ya Barcelona katika mechi za mtoano hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Man Utd yapeta, Arsenal kwa Bayern
Arsenal imetupwa kwa Bayern Munich wakati Manchester United ikipewa vibonde katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa, huku Lionel Messi akitwaa tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka wa Ulaya.
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Man City wapewa Barca 16 bora Ligi ya Mabingwa Ulaya
Nyon, Uswisi. Droo ya hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imepangwa jana huku Manchester City wakikutana na Barcelona.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-uGZo*GRRd-yJAC8Bjm1rpmUrMnMz9n4a0Nb6tvk5cU-XpVBawOd8MVXOzzTJub8dJ2UA9n5S38SkpsiMuxe6Pz/mancityvsarsenal...jpg?width=650)
JISHINDIE MUDA WA MAONGEZI WA SH. 10,000 KWA KUTABIRI MATOKEO YA MAN CITY VS ARSENAL LEO
Tabiri matokeo ya mechi ya Ligi Kuu England leo kati ya Manchester City na Arsenal itakayopigwa saa 1 usiku kwenye Uwanja wa Etihad, Manchester City. Mtu wa kwanza kutabiri matokeo ya mchezo huo atajishindia muda wa maongezi wa shilingi 10,000 . Jinsi ya kushiriki: Ingia katika ukurasa wetu wa FACEBOOK…
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Arsenal wapewa Barca ligi ya mabingwa Ulaya
Arsenal ya Uingereza imepangwa na Barcelona ya Uhispania kwenye hatua ya 16 bora Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8Jkx9tqLLEZuVXqtKJNLo8dU105AccCNP--rmWBAat6zxFi89qt3*mfGhQqBOEmHIVDMV86f97S22-ULQs36La*W/ROBEN.jpg)
ARSENAL HOI KWA BAYERN
Wojciech Szczesny akijaribu kumzuia Arjen Robben bila mafanikio. Kipa wa Arsenal, Wojciech Szczesny…
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Man United kwa Bayern, Chelsea kwa PSG
>Manchester United wametupwa kwa mabingwa watetezi Bayern Munich katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa, huku Chelsea wakipangwa na Paris St-Germain.
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Man United, Barca zapigwa chini Ulaya
Bayern Munich na Atletico Madrid zimetinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kushinda mechi zao za marudiano za robo fainali zilizochezwa jana.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Man City: Barca ilibebwa
Kocha wa Manchester City, Manuel Pellegrini amesema mwamuzi Jonas Ericksson wa Sweden aliipendelea Barcelona na ndiyo maana iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye uwanja wa Etihad juzi.
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Barca yashinda, Man City yafa
Hispania. Barcelona imeanza vizuri msimu mpya wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Apoel Nicosia, katika mchezo uliochezwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Nou Camp.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania