Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kivumbi leo UEFA, Bayern,PSG kufa kupona

Mzunguko wa pili hatua ya robo fainali ligi ya mabingwa barani Ulaya kutimua vumbi Jumanne usiku

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Bayern Munich, PSG robo fainali UEFA

Timu ya Bayern Munich ya Ujerumani na Paris St. Germain ya Ufaransa zimesonga mbele katika hatua ya robo fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Stars kufa au kupona leo

Kilimanjaro Stars yenye mastraika gumzo, Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta inashuka mjini Mombasa leo kuikabili timu ngumu ya Uganda ambayo haijaruhusu hata bao moja kwenye Chalenji msimu huu

 

9 years ago

Mwananchi

Majimbo 10 ya kufa au kupona

Wagombea ubunge wa majimbo 10 wana kazi ya ziada ya kufanya kabla ya Jumapili wakati wananchi watakapopiga kura kuamua ushindani mkali uliotanda kwa karibu miezi miwili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu, kwa mujibu wa uchunguzi wa Mwananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kufa au kupona wagombea CCM

>Leo ni kufa au kupona kwa makada wa CCM wanaowania ubunge wakati wanachama wa chama hicho tawala watakapopiga kura wilayani kuchagua wagombea kwenye majimbo yao baada ya wiki kadhaa za vikumbo zilizojumuisha kurushiana ngumi, tuhuma za rushwa, malumbano na migomo.

 

9 years ago

Habarileo

Stars kufa kupona Algiers

TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars jana iliwatoa mashabiki wa soka vichwa chini baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya miamba ya Afrika, Algeria katika mechi ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Dunia 2018, kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

StarTV

Bayern yashinda,Barcelona yafungwa na PSG.

Kitimtim cha klabu bingwa barani Ulaya kiliendelea tena usiku wa kuamkia leo huku zikishuhudiwa nyasi za viwanja kadhaa zikiwaka moto kuruhusu wababe wa soka kutoka nchi mbalimbali wakizitafuta point tatu muhimu.

 
Nchini Ufaransa wenyeji Paris St Germany (PSG), waliikaribisha timu ya Barcelona, hadi mwisho wa mchezo huo wenyeji PSG wakaibuka washindi kwa jumla ya mabao 3-2.

 
Nchini Urusi wenyeji CSKA MOSCOW wameangukia pua baada ya kufungwa goli 1-0 na wababe wa soka wa Ujerumani Bayern...

 

11 years ago

BBCSwahili

Man U yapangwa na Bayern,Chelsea na PSG

Manchester United imepangwa kukipiga na Bayern Munich katika hatua ya robo fainali ya kombe la mabingwa barani ulaya

 

11 years ago

Mwananchi

Bayern, PSG, Chelsea zagawa dozi

Bayern Munich inakaribia kutwaa ubingwa wa Ujerumani, mabingwa wa Ufaransa, Paris Saint-Germain wanaelekea kutetea taji lao, huku Chelsea ikiendelea kujiimalisha kileleni mwa Ligi Kuu ya England. HISPANIA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani