Stars kufa kupona Algiers
TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars jana iliwatoa mashabiki wa soka vichwa chini baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya miamba ya Afrika, Algeria katika mechi ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Dunia 2018, kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Stars kufa au kupona leo
Kilimanjaro Stars yenye mastraika gumzo, Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta inashuka mjini Mombasa leo kuikabili timu ngumu ya Uganda ambayo haijaruhusu hata bao moja kwenye Chalenji msimu huu
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Majimbo 10 ya kufa au kupona
Wagombea ubunge wa majimbo 10 wana kazi ya ziada ya kufanya kabla ya Jumapili wakati wananchi watakapopiga kura kuamua ushindani mkali uliotanda kwa karibu miezi miwili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu, kwa mujibu wa uchunguzi wa Mwananchi.
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Kufa au kupona wagombea CCM
>Leo ni kufa au kupona kwa makada wa CCM wanaowania ubunge wakati wanachama wa chama hicho tawala watakapopiga kura wilayani kuchagua wagombea kwenye majimbo yao baada ya wiki kadhaa za vikumbo zilizojumuisha kurushiana ngumi, tuhuma za rushwa, malumbano na migomo.
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Kivumbi leo UEFA, Bayern,PSG kufa kupona
Mzunguko wa pili hatua ya robo fainali ligi ya mabingwa barani Ulaya kutimua vumbi Jumanne usiku
9 years ago
Habarileo05 Sep
Stars kufa na Nigeria
TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars leo itacheza na Nigeria kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam katika mechi ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2017.
10 years ago
Michuzi11 May
10 years ago
AllAfrica.Com12 May
Algeria, Tanzania Urge Malians to 'Fully' Implement Algiers Agreement
spyghana.com
AllAfrica.com
Algiers — Algeria and Tanzania have called on the Malian to "fully" implement the Peace and Reconciliation Agreement, initialed on 1st March in Algiers. The two countries "expressed their concern about the recent deteriorating security situation in North Mali ...
Kikwete urges education reps abroadDaily News
all 20
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--kXmash0fyo/VU6hmB5mKvI/AAAAAAADmkU/Itc_G-3U9OY/s72-c/a1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI ALGIERS, ALGERIA, KWA ZIARA RASMI YA SIKU TATU
Rais was Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Algiers, mji mkuu wa Algeria, mchana wa leo, Jumamosi, Mei 9, 2015 kuanza ziara rasmi ya Kiserikali ya siku tatu katika nchi hiyo rafiki wa miaka mingi wa Tanzania kwa mwaliko wa Rais Abdelaziz Bouteflika.
Rais Kikwete amewasili katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria akitokea New York, Marekani, ambako kwa wiki nzima amekuwa anaendesha vikao vya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani ambao wanatafuta...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania