Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars kufa kupona Algiers

TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars jana iliwatoa mashabiki wa soka vichwa chini baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya miamba ya Afrika, Algeria katika mechi ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Dunia 2018, kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Stars kufa au kupona leo

Kilimanjaro Stars yenye mastraika gumzo, Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta inashuka mjini Mombasa leo kuikabili timu ngumu ya Uganda ambayo haijaruhusu hata bao moja kwenye Chalenji msimu huu

 

9 years ago

Mwananchi

Majimbo 10 ya kufa au kupona

Wagombea ubunge wa majimbo 10 wana kazi ya ziada ya kufanya kabla ya Jumapili wakati wananchi watakapopiga kura kuamua ushindani mkali uliotanda kwa karibu miezi miwili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu, kwa mujibu wa uchunguzi wa Mwananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kufa au kupona wagombea CCM

>Leo ni kufa au kupona kwa makada wa CCM wanaowania ubunge wakati wanachama wa chama hicho tawala watakapopiga kura wilayani kuchagua wagombea kwenye majimbo yao baada ya wiki kadhaa za vikumbo zilizojumuisha kurushiana ngumi, tuhuma za rushwa, malumbano na migomo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kivumbi leo UEFA, Bayern,PSG kufa kupona

Mzunguko wa pili hatua ya robo fainali ligi ya mabingwa barani Ulaya kutimua vumbi Jumanne usiku

 

9 years ago

Habarileo

Stars kufa na Nigeria

TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars leo itacheza na Nigeria kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam katika mechi ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2017.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Algeria, Tanzania Urge Malians to 'Fully' Implement Algiers Agreement


spyghana.com
Algeria, Tanzania Urge Malians to 'Fully' Implement Algiers Agreement
AllAfrica.com
Algiers — Algeria and Tanzania have called on the Malian to "fully" implement the Peace and Reconciliation Agreement, initialed on 1st March in Algiers. The two countries "expressed their concern about the recent deteriorating security situation in North Mali ...
Kikwete urges education reps abroadDaily News

all 20

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AWASILI ALGIERS, ALGERIA, KWA ZIARA RASMI YA SIKU TATU





Rais was Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Algiers, mji mkuu wa Algeria, mchana wa leo, Jumamosi, Mei 9, 2015 kuanza ziara rasmi ya Kiserikali ya siku tatu katika nchi hiyo rafiki wa miaka mingi wa Tanzania kwa mwaliko wa Rais Abdelaziz Bouteflika.

Rais Kikwete amewasili katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria akitokea New York, Marekani, ambako kwa wiki nzima amekuwa anaendesha vikao vya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani ambao wanatafuta...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani