Stars kufa na Nigeria
TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars leo itacheza na Nigeria kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam katika mechi ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2017.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Stars kufa au kupona leo
9 years ago
Habarileo15 Nov
Stars kufa kupona Algiers
TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars jana iliwatoa mashabiki wa soka vichwa chini baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya miamba ya Afrika, Algeria katika mechi ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Dunia 2018, kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo04 Sep
Stars yaichanganya Nigeria
IKIWA imesalia siku moja kabla ya mechi ya timu ya soka ya taifa, Taifa Stars dhidi ya Nigeria, kocha Sunday Oliseh ameonesha hofu akisema hawafahamu wapinzani wake.
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Nigeria yanasa mkanda wa Stars
11 years ago
BBC
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Stars ijipange dhidi ya Nigeria.
11 years ago
BBC
Nigeria stars set to receive $1m
10 years ago
Mtanzania07 Sep
Kocha Nigeria afurahia sare na Stars
*Akiri mambo yalikua magumu upande wao
*Mkwasa asema timu yake imekosa uzoefu tu
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Nigeria ‘Super Eagles’, Sunday Oliseh, amefurahia matokeo ya suluhu katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, akieleza wazi kuwa maji yalikua shingoni kwa upande wao.
Stars na Nigeria ambazo zimepangwa kundi G kwenye michuano hiyo, juzi zilitoshana nguvu na kuambulia pointi...
10 years ago
Habarileo04 Sep
Masembe kuisimamia Taifa Stars, Nigeria
ALIYEWAHI kuwa mwamuzi bora kwenye fainali za soka za Afrika kwa vipindi vitatu, Charles Masembe ndiye atakuwa kamishna wa mchezo wa Taifa Stars na Nigeria utakaofanyika kesho kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.