Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masembe kuisimamia Taifa Stars, Nigeria

ALIYEWAHI kuwa mwamuzi bora kwenye fainali za soka za Afrika kwa vipindi vitatu, Charles Masembe ndiye atakuwa kamishna wa mchezo wa Taifa Stars na Nigeria utakaofanyika kesho kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TAIFA STARS NA NIGERIA HAKUNA MBABE ZATOKA 0-0

Timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars metoka suluhu ya 0-0 na Timu ya Taifa ya Nigeria Green Eagles katika mchezo uliochezwa leo Jumamosi Sept 5, 2015 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo ambayo matangazo yake yalinaswa na Vijimambo Blog kupitia tunein ya Radio E- FM, Taifa Stars inastahili pongezi kwa kiwango cha mpira ilichokionesha leo bila kujali ni timu gani au ukubwa wa timu waliocheza nayo.
Kutokana na matangazo ya Radio hiyo yaliyoletwa moja kwa moja kutoka...

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

10 years ago

Michuzi

Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin

Mshambuliaji wa timu ya Taifa Stars,Juma Luizio akiipachikia bao nne timu yake katika mtangange wa kikataifa wa kirafiki dhidi ya Benin,uliomalizika hivi punde katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Taifa Stars imeshinda 4-1 dhidi ya Benin. Wachezaji wa Taifa Stars,wakishangilia ushindi wao huku wakiwaacha wapinzani wao wa Benin wakiwa hoi tena wakiwa hawaamini wanachokiona uwanjani hapo. Washabiki wa Taifa stars wakiisapoti vilivyo timu yao. Ubao wa ulionyesha hivi kabla jamaa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Taifa stars, Harambee Stars hoi

Michezo ya awali ya kusaka tiketi ya kushiriki kombe la dunia nchini Urusi 2018 ukanda wa Afrika, zimepigwa usiku wa kuamka leo

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maofisa ushirika watakiwa kuisimamia sheria mpya

KAIMU Katibu Tawala mkoani Mtwara, Johansen Bukwali, amewataka maofisa ushirika nchini kuijua vizuri na kuisimamia sheria mpya ya Vyama vya Ushirika namba 6 ya mwaka 2013, kwani vyama hivyo vina...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JOHN MNYIKA: Hata nikiweka maisha rehani, sitaacha kuisimamia serikali

SI lazima uwe mtu wa makamo ndio uwe kiongozi bora au mwanasiasa. Ukweli katika hilo unathibitika kwa kutazama jinsi baadhi ya vijana wanavyojikita katika siasa na kupata fursa ya kuongoza....

 

9 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Taifa Stars wajiapiza

BENCHI la ufundi la timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, limesema halina sababu ya kutofanya vizuri kwani mazingira yaliyowekwa na mdhamini Kilimanjaro Premium Lager yanaridhisha. Hayo yamesemwa na Kocha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani