Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maofisa ushirika watakiwa kuisimamia sheria mpya

KAIMU Katibu Tawala mkoani Mtwara, Johansen Bukwali, amewataka maofisa ushirika nchini kuijua vizuri na kuisimamia sheria mpya ya Vyama vya Ushirika namba 6 ya mwaka 2013, kwani vyama hivyo vina...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

DC awashukia maofisa ushirika kuwa kikwazo

Mkuu wa Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara, Farida Mgomi amewashukia maofisa ushirika wilayani hapa kwamba ni chanzo cha kufanya halmashauri kushindwa kukusanya mapato ya ushuru wa mazao.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Ushirika, Vicoba zingatieni sheria’

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo amevitaka vyama vya ushirika na vikundi vya Benki za Jamii Vijijini (Vicoba), kuzingatia sheria na kanuni za ushirika ili kuchangia ukuaji wa uchumi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maofisa ugani watakiwa kutumia utabiri

MAOFISA ugani nchini wametakiwa kufuatilia utabiri unaotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kuwaelimisha wakulima ili waweze kufahamu aina ya mazao yanayopaswa kulimwa kwa wakati unaofaa. Ushauri...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Ushirika Muleba wapindisha sheria ya uchaguzi’

BAADHI ya wakulima wa chama cha ushirika cha Kamachumu kilichopo Wilayani Muleba Mkoani Kagera wamedai kuwa uchaguzi wa kuwachagua wajumbe wa bodi na mwenyekiti wa chama hicho uliofanyika wiki iliyopita...

 

9 years ago

Mwananchi

Maofisa biashara Kusini watakiwa kuacha urasimu

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa amewataka baadhi ya watendaji kupunguza urasimu wakati wa kusajili majina ya kufungua biashara za watu mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

Maofisa serikalini, wadau watakiwa kutoa ushirikiano

Dr-Florence-TurukaNa Adam Mkwepu, Dar es Salaam
JAMII, maofisa wa Serikali na wadau wengine wametakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini.

Hayo yalisemwa hivi karibuni na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Florens Turuka, ambapo alisema kuwa raia hao wa Marekani wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.
Alisema raia hao “wanatakiwa kusaidiwa kujifunza na kuzoea mila na kujifunza Kiswahili.”

Akizungumzia...

 

5 years ago

CCM Blog

MAOFISA AFYA MIPAKANI WATAKIWA KUONGEZA UMAKINI

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, amewataka wataalamu wa afya maeneo ya mipakani kote nchini kuongeza umakini wakati wa  ukaguzi kwa wasafiri wanaopita katika maeneo yao na si kupima joto la mwili pekee.

Waziri Ummy ameyasema hayo jana Jumatano Machi 18, katika Mpaka Namanga unaotenganisha Tanzania na Kenya wakati alipokuwa akifanya ukaguzi ukaguzi katika eneo hilo.
Alisema ni muhimu kufanya ukaguzi wa kina zaidi ikiwamo kuhoji wasafiri kabla ya...

 

5 years ago

Michuzi

Tuwe na uelewa wa Sheria ya Ushirika –Naibu Mrajis

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika Usimamizi na Udhibiti wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Bw. Collins Nyakunga ametoa wito kwa Viongozi na Watendaji wa Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) kuwa na uelewa wa Sheria ya Vyama vya Ushirika Na.6 ya mwaka 2013, Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha Na.10 ya mwaka 2018, miongozo na Kanuni husika za Ushirika.

Mrajis ametoa wito huo akiongea na Viongozi pamoja na Watendaji wa Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) wakati wa mafunzo ya Sheria Na.10 ya...

 

5 years ago

Michuzi

MAOFISA AFYA WATAKIWA KUONGEZA UKAGUZI KWENYE MIPAKA

 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara Kuu Afya Dkt. Zainab Chaula akiwa kwenye jengo la mpaka wa nchi ya Uganda ikiwa ni ziara yake ya kikazi ya kuangalia utayari wa kukabiliana na magonjwa ya milipuko. Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akiongea na watumishi wa idara mbalimbali wa mpaka wa mtukula nje ya jengo la kituo cha pamoja nchini Tanzania. Dkt. Chaula akiangalia ofisi ya maofisa afya wa mpaka wa mtukula nchini Tanzania na kujionea jinsi ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani