Maofisa ugani watakiwa kutumia utabiri
MAOFISA ugani nchini wametakiwa kufuatilia utabiri unaotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kuwaelimisha wakulima ili waweze kufahamu aina ya mazao yanayopaswa kulimwa kwa wakati unaofaa. Ushauri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Upungufu wa maofisa ugani wadhoofisha kilimo
11 years ago
Habarileo08 Apr
Kamani kuomba ajira zaidi maofisa ugani
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, amesema ataendelea kuwasiliana na Wizara ya nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Menejimenti ya Umma ili kuweza kupata kibali cha kuajiri watumishi zaidi hasa maofisa ugani wa mifugo.
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Maofisa biashara Kusini watakiwa kuacha urasimu
5 years ago
CCM BlogMAOFISA AFYA MIPAKANI WATAKIWA KUONGEZA UMAKINI
Waziri Ummy ameyasema hayo jana Jumatano Machi 18, katika Mpaka Namanga unaotenganisha Tanzania na Kenya wakati alipokuwa akifanya ukaguzi ukaguzi katika eneo hilo.
Alisema ni muhimu kufanya ukaguzi wa kina zaidi ikiwamo kuhoji wasafiri kabla ya...
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Maofisa serikalini, wadau watakiwa kutoa ushirikiano
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
JAMII, maofisa wa Serikali na wadau wengine wametakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini.
Hayo yalisemwa hivi karibuni na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Florens Turuka, ambapo alisema kuwa raia hao wa Marekani wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.
Alisema raia hao “wanatakiwa kusaidiwa kujifunza na kuzoea mila na kujifunza Kiswahili.”
Akizungumzia...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Maofisa ushirika watakiwa kuisimamia sheria mpya
KAIMU Katibu Tawala mkoani Mtwara, Johansen Bukwali, amewataka maofisa ushirika nchini kuijua vizuri na kuisimamia sheria mpya ya Vyama vya Ushirika namba 6 ya mwaka 2013, kwani vyama hivyo vina...
10 years ago
Habarileo18 Aug
Maofisa habari watakiwa kutoa elimu kuhusu DART
WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umetaka maofisa habari na mawasiliano wa taasisi zinazoguswa moja kwa moja na mradi huo, kusaidia kutoa elimu na taarifa sahihi kwa wananchi juu ya uendeshaji na usimamizi wake.
5 years ago
MichuziMAOFISA AFYA WATAKIWA KUONGEZA UKAGUZI KWENYE MIPAKA
11 years ago
Mwananchi08 May
Wachimbaji watakiwa kutumia NSSF