Maofisa biashara Kusini watakiwa kuacha urasimu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa amewataka baadhi ya watendaji kupunguza urasimu wakati wa kusajili majina ya kufungua biashara za watu mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Mar
CCM yaitaka serikali kuacha urasimu
SERIKALI imeshauriwa kupunguza urasimu wa ufanyaji biashara katika maeneo ya mipakani, ili wananchi wengi watumie fursa hiyo katika kujiongezea kipato.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alipokuwa akizungumza na wakazi wa Himo.
Alisema Tanzania ni nchi pekee ambayo mikoa yake zaidi ya 14 imekuwa ikipakana na nchi za jirani.
Kinana alisema iwapo wananchi wa mikoa hiyo wakitumia fursa hiyo ya kupakana na nchi jirani kufanya biashara, kutawasaidia katika...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Simbakalia ataka Tanesco kuacha urasimu
MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali mstaafu Joseph Simbakalia, amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuhakikisha wananchi wanaokwenda kuomba huduma ya kuunganishiwa umeme wanapatiwa huduma hiyo kwa wakati. Simbakalia alitoa...
5 years ago
CCM BlogTAASISI ZA KIFEDHA NCHINI ZATAKIWA KUACHA URASIMU KATIKA MIKOPO
Kauli hiyo imetolewa Machi mosi na Makamu wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Ali Idd wilayani, Kahama mkoani Shinyanga katika ziara yake ya kwanza baada ya kutembelea na kukagua eneo la ujenzi wa viwanda vitatu katika eneo la chapulwa vinavyojengwa na KOM GROUP...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Urasimu unavyoathiri Sekta ya biashara nchini
10 years ago
Mwananchi13 Sep
JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qkAsdO85el8/XpCs1YO4FrI/AAAAAAALmuw/KL-bY-WtR8U8_-D9_rHXM3Bvs6wr8VDZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-19.jpg)
WATENDAJI SEKTA YA ARDHI OFISI ZA MIKOA WATAKIWA KUEPUKA URASIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qkAsdO85el8/XpCs1YO4FrI/AAAAAAALmuw/KL-bY-WtR8U8_-D9_rHXM3Bvs6wr8VDZwCLcBGAsYHQ/s640/1-19.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mary Makondo akizungumza wakati wa kufunga mafunzo kwa watendaji wa sekta ya Ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-13.jpg)
Kamishna wa Ardhi nchini Nathaniel Nhonge akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya Watendaji wa sekta ya ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-iMf9jpwq9YM/XnjAECgvm8I/AAAAAAACJK8/1Kcsu24on9QkrhkQkTCCoXIosW_HRPwBQCLcBGAsYHQ/s72-c/tbs.jpg)
TBS WATAKIWA KUEPUKA VISHAWISHI NA URASIMU NCHI IWE SALAMA NA KUVUTIA WAWEKEZAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iMf9jpwq9YM/XnjAECgvm8I/AAAAAAACJK8/1Kcsu24on9QkrhkQkTCCoXIosW_HRPwBQCLcBGAsYHQ/s320/tbs.jpg)
Na Roida Andusamile-TBS
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe...
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Waziri Simbachawene amsimamsisha kazi Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma kwa kuhusika na urasimu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene (pichani) amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma Bw. Elias N. Kamara na Bibi Donatila D. Vedasto (Afisa Biashara) kuanzia leo tarehe 30/12/2015 kwa kosa la kusababisha urasimu katika utoaji wa leseni za biashara.
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Maofisa ugani watakiwa kutumia utabiri
MAOFISA ugani nchini wametakiwa kufuatilia utabiri unaotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kuwaelimisha wakulima ili waweze kufahamu aina ya mazao yanayopaswa kulimwa kwa wakati unaofaa. Ushauri...