Simbakalia ataka Tanesco kuacha urasimu
MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali mstaafu Joseph Simbakalia, amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuhakikisha wananchi wanaokwenda kuomba huduma ya kuunganishiwa umeme wanapatiwa huduma hiyo kwa wakati. Simbakalia alitoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Mar
CCM yaitaka serikali kuacha urasimu
SERIKALI imeshauriwa kupunguza urasimu wa ufanyaji biashara katika maeneo ya mipakani, ili wananchi wengi watumie fursa hiyo katika kujiongezea kipato.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alipokuwa akizungumza na wakazi wa Himo.
Alisema Tanzania ni nchi pekee ambayo mikoa yake zaidi ya 14 imekuwa ikipakana na nchi za jirani.
Kinana alisema iwapo wananchi wa mikoa hiyo wakitumia fursa hiyo ya kupakana na nchi jirani kufanya biashara, kutawasaidia katika...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Maofisa biashara Kusini watakiwa kuacha urasimu
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Kibada walia na urasimu TANESCO
WAKAZI wa Kata ya Kibada, Jimbo la Kigamboni, Dar es Salaam, wamemuomba Mbunge wa Jimbo hilo, Dk. Faustine Ndugulile, aingilie kati urasimu unaodaiwa kufanywa na watendaji wa Shirika la Umeme...
5 years ago
CCM BlogTAASISI ZA KIFEDHA NCHINI ZATAKIWA KUACHA URASIMU KATIKA MIKOPO
Kauli hiyo imetolewa Machi mosi na Makamu wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Ali Idd wilayani, Kahama mkoani Shinyanga katika ziara yake ya kwanza baada ya kutembelea na kukagua eneo la ujenzi wa viwanda vitatu katika eneo la chapulwa vinavyojengwa na KOM GROUP...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Sumaye ataka Watanzania kuacha ubinafsi
11 years ago
Habarileo04 Feb
Ataka zibuniwe mbinu za kuachana na Tanesco
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetakiwa kubuni njia mbadala za kuzalisha umeme, kuepuka kutumia chanzo kimoja cha umeme unaozalishwa Tanzania Bara na Shirika la Umeme la (Tanesco).
10 years ago
Habarileo03 Oct
Kikwete: Urasimu serikalini unatisha
RAIS Jakaya Kikwete amesema urasimu uliopo kwenye sekta mbalimbali nchini ni jambo la kutisha.
10 years ago
Habarileo08 Jun
Urasimu wakwamisha wakimbiza wawekezaji
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Godfrey Simbeye amesema kuwa urasimu mkubwa uliopo katika kusimamia masuala ya uwekekezaji umechangia kuwakimbiza wawekezaji.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Serikali imetakiwa kuondoa urasimu