Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urasimu wakwamisha wakimbiza wawekezaji

Godfrey SimbeyeMKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Godfrey Simbeye amesema kuwa urasimu mkubwa uliopo katika kusimamia masuala ya uwekekezaji umechangia kuwakimbiza wawekezaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

TBS WATAKIWA KUEPUKA VISHAWISHI NA URASIMU NCHI IWE SALAMA NA KUVUTIA WAWEKEZAJI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara  Prof. Riziki Shemdoe ( wa pili kutoka kulia) akipatiwa maelezo na mtaalam wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS)  kuhusu upimaji wa bidhaa mbalimbali unavyofanyika katika maabara ya uhandisi mitambo, Wakati wa ziara aliyoifanya Katibu Mkuu huyo kwenye Ofisi za TBS jijini Dar es Salaam, hivi karibuni. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa TBS Dk. Athuman Ngenya.



Na Roida Andusamile-TBS
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara  Prof. Riziki Shemdoe...

 

11 years ago

Mwananchi

Ubadhirifu wakimbiza wafadhili

Kamati ya Shirika la New Yearly Meeting la Marekani, imesitisha ufadhili wa wanafunzi wanaosoma elimu ya juu, vyuo mbalimbali na ujenzi wa nyumba za walimu shule ya msingi na sekondari Kisangura, wilayani Serengeti kutokana na jamii kutotoa ushirikiano.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbiza wa CAR wafika Cameroon

Zaidi ya wakimbizi elfu mbili Waislamu kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefika Cameroon wakikimbia ghasia za kidini nchini mwao.

 

11 years ago

Mwananchi

Msongamano Kigoma wakimbiza wajawazito

>Mkoa wa Kigoma unakabiliwa na changamoto ya msongamano wa akina mama wajawazito katika baadhi ya vituo vya afya na pia kukosa wodi  za kupumzikia kabla ya kujifungua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kibada walia na urasimu TANESCO

WAKAZI wa Kata ya Kibada, Jimbo la Kigamboni, Dar es Salaam, wamemuomba Mbunge wa Jimbo hilo, Dk. Faustine Ndugulile, aingilie kati urasimu unaodaiwa kufanywa na watendaji wa Shirika la Umeme...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete: Urasimu serikalini unatisha

RAIS Jakaya Kikwete amesema urasimu uliopo kwenye sekta mbalimbali nchini ni jambo la kutisha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa

Watumiaji wa bandari ya Mombasa nchini Kenya huenda wakawa na afueni, kufuatia mkataba wa kupunguza urasimu utakaosainiwa leo

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali imetakiwa kuondoa urasimu

Serikali imetakiwa kuingilia kati urasimu wa upatikanaji masoko kwa wafanyabiashara na wakulima wa mbogamboga na matunda, kufuatia kukithiri kwa vitendo vya rushwa vinavyofanywa na madalali.

 

10 years ago

Mwananchi

DC akemea urasimu miradi ya jamii

Maofisa wa tarafa, kata na vijiji wilayani hapa wamekemewa kwa tabia ya urasimu katika kutekeleza miradi ya kijamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani