Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubadhirifu wakimbiza wafadhili

Kamati ya Shirika la New Yearly Meeting la Marekani, imesitisha ufadhili wa wanafunzi wanaosoma elimu ya juu, vyuo mbalimbali na ujenzi wa nyumba za walimu shule ya msingi na sekondari Kisangura, wilayani Serengeti kutokana na jamii kutotoa ushirikiano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Urasimu wakwamisha wakimbiza wawekezaji

Godfrey SimbeyeMKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Godfrey Simbeye amesema kuwa urasimu mkubwa uliopo katika kusimamia masuala ya uwekekezaji umechangia kuwakimbiza wawekezaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Msongamano Kigoma wakimbiza wajawazito

>Mkoa wa Kigoma unakabiliwa na changamoto ya msongamano wa akina mama wajawazito katika baadhi ya vituo vya afya na pia kukosa wodi  za kupumzikia kabla ya kujifungua.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbiza wa CAR wafika Cameroon

Zaidi ya wakimbizi elfu mbili Waislamu kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefika Cameroon wakikimbia ghasia za kidini nchini mwao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu: Tutaanika wafadhili ujangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kuanzia sasa serikali itawataja hadharani wanaofadhili ujangili bila kujali nyadhifa zao. Kauli hiyo aliitoa mwishoni mwa wiki mkoani hapa, alipokuwa akizungumza na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wafadhili wakatiza misaada Uganda

Wafadhili wameanza kukata misaada Uganda baada ya Rais Yoweri Museveni kuutia sahihi muswada dhidi ya mapenzi ya jinsi moja .

 

9 years ago

Habarileo

JK: Kuweni wazi na fedha za wafadhili

RAIS Jakaya Kikwete amezitaka asasi za kiraia kuweka wazi fedha wanazozipata kutoka kwa wafadhili na namna wanavyozitumia, na wanapotakiwa na Serikali kutoa taarifa hizo wasione kama wanaingiliwa utendaji wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mhagama awapigia magoti wafadhili

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amewataka wafadhili nchini kuendelea kuisaidia serikali kuleta maendeleo kwa wananchi wake katika sekta mbalimbali ili kujenga taifa bora. Mhagama alitoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wafadhili warejesha msaada Uganda

Wafadhili wameridhika na kazi ya serikali mnamo mwaka wa fedha 2012/13, baada ya uhakiki wa kila mwaka kuhusu matendo ya serikali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waumini watakiwa kutotegemea wafadhili

WASHIRIKA katika makanisa mbalimbali hapa nchini wametakiwa kuongoza katika harambee zinazofanywa kwenye makanisa yao na kuacha kutegemea wafadhili pekee kuwafanyia mambo kama hayo ya maendeleo. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani