Msongamano Kigoma wakimbiza wajawazito
>Mkoa wa Kigoma unakabiliwa na changamoto ya msongamano wa akina mama wajawazito katika baadhi ya vituo vya afya na pia kukosa wodi za kupumzikia kabla ya kujifungua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Dec
Vifo kwa wajawazito, watoto vyapungua Kigoma
Kasi ya vifo vinavyotokana na uzazi kwa wajawazito na watoto vimepungua mkoani Kigoma kutokana na kuanzishwa na kutekelezwa kwa mpango mkakati wa huduma ya upasuaji katika vituo vya afya vijijini.
Mpango huo umewezesha wanawake wengi wajawazitio kuondokana na adha ya kusafirishwa umbali mrefu kufuata huduma hiyo pindi inapohitajika katika hospatali za wilaya ama mkoa.
Kwa mujibu wa taarifa za Afya mkoani Kigoma, wanawake 62 walipoteza maisha mwaka 2014 kutokana na matatizo ya uzazi na...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Ubadhirifu wakimbiza wafadhili
10 years ago
Habarileo08 Jun
Urasimu wakwamisha wakimbiza wawekezaji
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Godfrey Simbeye amesema kuwa urasimu mkubwa uliopo katika kusimamia masuala ya uwekekezaji umechangia kuwakimbiza wawekezaji.
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Wakimbiza wa CAR wafika Cameroon
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CC_BdQbdJGo/Xsfz5VbtRBI/AAAAAAALrTs/6CPow7YcVrcdb36Gqf4RE9Mo7B8U4M9wACLcBGAsYHQ/s72-c/3bf7b521-95c5-44a8-b6a6-884ef19f17cd.jpg)
WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI KIGOMA KIGOMA
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara ya siku moja
mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kugawa miche ya michikichi kwa makundi
mbalimbali ya wakulima ikiwa ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa
mkakati wa serikali kuelekea kujitegemea kwa mafuta ya kula
yatakayokuwa yakizalishwa kupitia zao la michikichi.
Mkuu wa mkoa Kigoma,Emanuel Maganga akizungumza na waandishi wa habari mjini Kigoma leo alisema kuwa mpango wa ugawaji wa miche hiyo
utafanyika katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qdocSH7_ji8/VRtOafZ8phI/AAAAAAAHOpg/VfH2a0dmY-g/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI KIGOMA WAZINDUA GAZETI LAO LA KIGOMA YETU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Kh4IBf9Ak0c/VJfrt9saoEI/AAAAAAAG4_c/MNfVQWj5YQo/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AKANUSHA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA KIGOMA KULA PESA YA TASAF
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Mwili wa Mama yake Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe wasafirishwa kwenda Kigoma
Zitto Kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.
Ndege ikiandaliwa ili kuweza kuingiza mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe.
Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe Bi Shida Salum kuingiza kwenye ndege Tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye mazishi.
Prof. Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Polisi Kigoma waua majambazi watano Kigoma