Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mhagama awapigia magoti wafadhili

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amewataka wafadhili nchini kuendelea kuisaidia serikali kuleta maendeleo kwa wananchi wake katika sekta mbalimbali ili kujenga taifa bora. Mhagama alitoa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Lema awapigia magoti Ulaya, Marekani

MGOMBEA wa nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema “

Paul Sarwatt

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nkongo awapigia chapuo vibendera

MWAMUZI bora wa Ligi Kuu 2013/14, Israel Nkongo, amewataka wadhamini wa ligi hiyo, Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, kuwatazama na waamuzi wasaidizi katika utoaji tuzo hizo....

 

10 years ago

Habarileo

Mkapa ‘awapigia debe’ wataalamu wazawa

Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin MkapaRAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameitaka Wizara ya Ujenzi kuweka mazingira mazuri ya kuwawezesha wataalamu wa ndani kuweza kupata fursa za kushiriki katika ujenzi wa miradi mikubwa ili kuiongezea nchi mapato.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATIA FORA MWANZA MJINI, MAELFU WAFURIKA MKUTANONI UWANJA WA FURAHISHA, AWAPIGIA SALUTI

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwapigia saluti, maelfu ya wananchi, alipowasili kuhutubia mkutano wake wa hadhara aliofanya leo kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Mwanza.Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwahamasisha maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana uliofanyika leo katika Vianja vya Furahisha Jijini Mwanza."'SAFI SANA"Katibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Ubadhirifu wakimbiza wafadhili

Kamati ya Shirika la New Yearly Meeting la Marekani, imesitisha ufadhili wa wanafunzi wanaosoma elimu ya juu, vyuo mbalimbali na ujenzi wa nyumba za walimu shule ya msingi na sekondari Kisangura, wilayani Serengeti kutokana na jamii kutotoa ushirikiano.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wafadhili warejesha msaada Uganda

Wafadhili wameridhika na kazi ya serikali mnamo mwaka wa fedha 2012/13, baada ya uhakiki wa kila mwaka kuhusu matendo ya serikali.

 

9 years ago

Habarileo

JK: Kuweni wazi na fedha za wafadhili

RAIS Jakaya Kikwete amezitaka asasi za kiraia kuweka wazi fedha wanazozipata kutoka kwa wafadhili na namna wanavyozitumia, na wanapotakiwa na Serikali kutoa taarifa hizo wasione kama wanaingiliwa utendaji wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waumini watakiwa kutotegemea wafadhili

WASHIRIKA katika makanisa mbalimbali hapa nchini wametakiwa kuongoza katika harambee zinazofanywa kwenye makanisa yao na kuacha kutegemea wafadhili pekee kuwafanyia mambo kama hayo ya maendeleo. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani