Mhagama awapigia magoti wafadhili
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amewataka wafadhili nchini kuendelea kuisaidia serikali kuleta maendeleo kwa wananchi wake katika sekta mbalimbali ili kujenga taifa bora. Mhagama alitoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Lema awapigia magoti Ulaya, Marekani
MGOMBEA wa nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema “
Paul Sarwatt
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Nkongo awapigia chapuo vibendera
MWAMUZI bora wa Ligi Kuu 2013/14, Israel Nkongo, amewataka wadhamini wa ligi hiyo, Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, kuwatazama na waamuzi wasaidizi katika utoaji tuzo hizo....
10 years ago
Habarileo15 May
Mkapa ‘awapigia debe’ wataalamu wazawa
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameitaka Wizara ya Ujenzi kuweka mazingira mazuri ya kuwawezesha wataalamu wa ndani kuweza kupata fursa za kushiriki katika ujenzi wa miradi mikubwa ili kuiongezea nchi mapato.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DG756tUltwU/VZAoFpEJA2I/AAAAAAAAwNM/a2JKyW-NR_c/s72-c/1.jpg)
KINANA ATIA FORA MWANZA MJINI, MAELFU WAFURIKA MKUTANONI UWANJA WA FURAHISHA, AWAPIGIA SALUTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DG756tUltwU/VZAoFpEJA2I/AAAAAAAAwNM/a2JKyW-NR_c/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vk-wHI6i3BU/VZAoFuwD5KI/AAAAAAAAwNI/T9XDgp1Xamk/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P9n2wsd6ufU/VZAoDcVgnJI/AAAAAAAAwNA/aRSBCyaYFhM/s640/3.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Ubadhirifu wakimbiza wafadhili
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Wafadhili warejesha msaada Uganda
9 years ago
Habarileo05 Sep
JK: Kuweni wazi na fedha za wafadhili
RAIS Jakaya Kikwete amezitaka asasi za kiraia kuweka wazi fedha wanazozipata kutoka kwa wafadhili na namna wanavyozitumia, na wanapotakiwa na Serikali kutoa taarifa hizo wasione kama wanaingiliwa utendaji wao.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Waumini watakiwa kutotegemea wafadhili
WASHIRIKA katika makanisa mbalimbali hapa nchini wametakiwa kuongoza katika harambee zinazofanywa kwenye makanisa yao na kuacha kutegemea wafadhili pekee kuwafanyia mambo kama hayo ya maendeleo. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi...