Nkongo awapigia chapuo vibendera
MWAMUZI bora wa Ligi Kuu 2013/14, Israel Nkongo, amewataka wadhamini wa ligi hiyo, Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, kuwatazama na waamuzi wasaidizi katika utoaji tuzo hizo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Nkongo kuzihukumu Yanga, Azam
NA MWALI IBRAHIM NA JULIET MORI (TUDARCO)
MWAMUZI Israel Nkongo anayetambulika na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), anatarajiwa kuamua mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Azam na Yanga, utakaochezwa Jumamosi hii, Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Nkongo ana historia kubwa na mechi hiyo kwani aliwahi kuchezesha mechi ya ligi ya miamba hiyo Machi 2012, lakini mchezo huo ulioishuhudia Azam ikitoka kifua mbele kwa kushinda 3-1, ulimalizika kwa Nkongo kupata mkong’oto kutoka kwa wachezaji wa Yanga,...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Nkongo kushika kipenga mechi ya Simba, Yanga
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Mhagama awapigia magoti wafadhili
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amewataka wafadhili nchini kuendelea kuisaidia serikali kuleta maendeleo kwa wananchi wake katika sekta mbalimbali ili kujenga taifa bora. Mhagama alitoa...
10 years ago
Habarileo15 May
Mkapa ‘awapigia debe’ wataalamu wazawa
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameitaka Wizara ya Ujenzi kuweka mazingira mazuri ya kuwawezesha wataalamu wa ndani kuweza kupata fursa za kushiriki katika ujenzi wa miradi mikubwa ili kuiongezea nchi mapato.
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Lema awapigia magoti Ulaya, Marekani
MGOMBEA wa nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema “
Paul Sarwatt
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DG756tUltwU/VZAoFpEJA2I/AAAAAAAAwNM/a2JKyW-NR_c/s72-c/1.jpg)
KINANA ATIA FORA MWANZA MJINI, MAELFU WAFURIKA MKUTANONI UWANJA WA FURAHISHA, AWAPIGIA SALUTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DG756tUltwU/VZAoFpEJA2I/AAAAAAAAwNM/a2JKyW-NR_c/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vk-wHI6i3BU/VZAoFuwD5KI/AAAAAAAAwNI/T9XDgp1Xamk/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P9n2wsd6ufU/VZAoDcVgnJI/AAAAAAAAwNA/aRSBCyaYFhM/s640/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Rutiginga ampigia chapuo Nkwabi
WAKATI uchaguzi wa klabu ya Simba ukitarajia kufanyika leo jijini Dar es Salaam, mwanachama aliyekuwa akiwania nafasi ya ujumbe, Ramson Rutiginga, amewasihi wenzake kumchagua Swedi Nkwabi kwa nafasi ya makamu...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Sekta ya uvuvi yapigiwa chapuo
NCHI za Afrika zimekubaliana kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha sekta ya uvuvi inakuwa na mchango mkubwa wa kukuza uchumi katika nchi hizo. Akizungumza katika semina iliyoandaliwa na Umoja wa...