Nkongo kushika kipenga mechi ya Simba, Yanga
Mwamuzi wa kimataifa wa Tanzania, Israel Nkongo anatarajiwa kuchezesha pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Nkongo kuzihukumu Yanga, Azam
NA MWALI IBRAHIM NA JULIET MORI (TUDARCO)
MWAMUZI Israel Nkongo anayetambulika na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), anatarajiwa kuamua mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Azam na Yanga, utakaochezwa Jumamosi hii, Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Nkongo ana historia kubwa na mechi hiyo kwani aliwahi kuchezesha mechi ya ligi ya miamba hiyo Machi 2012, lakini mchezo huo ulioishuhudia Azam ikitoka kifua mbele kwa kushinda 3-1, ulimalizika kwa Nkongo kupata mkong’oto kutoka kwa wachezaji wa Yanga,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-zf7PzEOOWJFQNcIIcy4579L6*L5Vh5-tfTFf-xlmIuURuvIhvM9NoPMqsI-36mubJW0aNqQ9a61zL8-oSxM*tb/yanganasimba.jpg?width=650)
MECHI YA WABUNGE: YANGA 1, SIMBA 1
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi-b2oTaCgCuv9B9hbuPObMrWjqxQZP2VgHpuwb9UNK0yjSMRCx3I*ZJv7JbRKlM17qXgXafMRjPjVtD*AaS622v/b050b92331fa6b814abfa1c4a51830f3_L.jpg)
MECHI YA SIMBA, YANGA OKTOBA 12 YAHIRISHWA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s72-c/MMGM12361.jpg)
VIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA VYATAJWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s1600/MMGM12361.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-640PnH7fRoY/VDzpeJxDEKI/AAAAAAAGqbw/Ur8NXKtT7AU/s1600/MMGM1227.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wAgZiQLoFyo/VDzpYTkwujI/AAAAAAAGqbo/suxHodK-WMM/s1600/MMGM1231.jpg)
Washabiki...
10 years ago
Vijimambo17 Oct
Yanga yabadili refa mechi vs Simba
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/TFF-October16-2014.jpg)
Hata hivyo, mabadiliko hayo yaliyofanywa na kamati hiyo yalichelewa kufika katika sekretarieti ya Shirikisho la Soka nchini (TFF), ambayo juzi ilimtangaza Chacha na...
10 years ago
GPLKIINGILIO MECHI YA YANGA, SIMBA 7,000/-
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-wKBlC6Sn0s/default.jpg)