Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MECHI YA SIMBA, YANGA OKTOBA 12 YAHIRISHWA

Mechi ya Yanga dhidi ya Simba (Picha na Maktaba). Ile mechi ya Yanga dhidi ya Simba imesogezwa mbele na TFF haijasema itakuwa siku gani.
Badala yake siku hiyo kutakuwa na mechi ya Taifa Stars. Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inashuka uwanjani Oktoba 12 mwaka huu kuikabili Benin katika mechi ya kirafiki ya kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA). Mechi hiyo itachezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mtanzania

Simba, Yanga kuumana Oktoba 12

Ofisa mtendaji wa bodi ya ligi, Silas Mwakibinga

Ofisa mtendaji wa bodi ya ligi, Silas Mwakibinga

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

WATANI wa jadi Simba na Yanga wamepangwa kukutana kwa mara ya kwanza Oktoba 12, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Ratiba hiyo ilionyesha kuwa watani hao watarudiana tena Februari 8 uwanja huo wa Taifa.

Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza rasmi Septemba 20, tayari timu hizo zimeshaingia mafichoni kujiweka sawa na ligi hiyo, Simba wakiwa Unguja na Yanga...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba, Yanga dimbani Taifa Oktoba 12

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza ratiba ya msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania (Bara), huku Simba na Yanga zikipangwa kukutana Oktoba 12 katika pambamo litakalopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

MECHI YA WABUNGE: YANGA 1, SIMBA 1

Mechi ya wabunge mashabiki wa Simba na Yanga inaendelea katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014. Mpaka sasa Yanga wanaongoza kwa bao 1-0 lililofungwa na Ahmed Ngwali katika kipindi cha kwanza. Mfungaji wa bao la Yanga akishangilia. …

 

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

KIINGILIO MECHI YA YANGA, SIMBA 7,000/-

Geilson Santana ‘Jaja’ akishangilia goli na wachezaji wenzake. Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000. Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi akishangilia. Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika...

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga yabadili refa mechi vs Simba

Kamati ya Waamuzi nchini imemuondoa refa msaidizi namba moja, Ferdinand Chacha kuchezesha mechi ya watani wa jadi, Yanga na Simba, na nafasi yake sasa inachukuliwa na Samuel Mpenzu kutoka Arusha ambaye atasaidiana na John Kanyenye kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara ambao mwamuzi wa kati atakuwa Israel Nkongo.

Hata hivyo, mabadiliko hayo yaliyofanywa na kamati hiyo yalichelewa kufika katika sekretarieti ya Shirikisho la Soka nchini (TFF), ambayo juzi ilimtangaza Chacha na...

 

10 years ago

Michuzi

VIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA VYATAJWA

Afisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania,Boniface Wambura akizungumza na wanahabari,wakati akitangaza viingilio na utaratibu wa kuingia uwanjani katika Mechi ya Watani wa Jadi,Simba na Yanga unaotaraji kuchezwa Oktoba 18,2014 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Picha na Othman Michuzi.Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000.
Washabiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani