Simba, Yanga dimbani Taifa Oktoba 12
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza ratiba ya msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania (Bara), huku Simba na Yanga zikipangwa kukutana Oktoba 12 katika pambamo litakalopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Simba, Yanga kuumana Oktoba 12
Ofisa mtendaji wa bodi ya ligi, Silas Mwakibinga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WATANI wa jadi Simba na Yanga wamepangwa kukutana kwa mara ya kwanza Oktoba 12, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ratiba hiyo ilionyesha kuwa watani hao watarudiana tena Februari 8 uwanja huo wa Taifa.
Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza rasmi Septemba 20, tayari timu hizo zimeshaingia mafichoni kujiweka sawa na ligi hiyo, Simba wakiwa Unguja na Yanga...
10 years ago
GPLMECHI YA SIMBA, YANGA OKTOBA 12 YAHIRISHWA
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Simba, Gor Mahia dimbani leo
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Simba dimbani leo, City yatulizwa
10 years ago
GPLSIMBA, YANGA WATOKA SARE TAIFA, DAR
5 years ago
MichuziRais CAF kuwashuhudia Simba na Yanga Taifa
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmed Ahmed anatarajia kuwasili nchini Siku ya Jumamosi Machi 7 kwa mwaliko wa Rais wa TFF.
Ahmad anakuja nchini kwa kwa mara ya kwanza na ataishuhudia mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa Jumapili Machi 8, 2020 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Hii ni mara ya kwanza kwa Rais wa CAF kupata nafasi ya kuja nchini na kushuhudia mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayowahusisha watani wa jadi Yanga na...
10 years ago
GPLSIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA YANGA TAIFA
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Yanga yasema imetosha, yailaza Simba Taifa