Yanga yasema imetosha, yailaza Simba Taifa
Dar es Salaam. Kama kuna mtu atakayekuwa na furaha leo kati ya wachezaji wa Yanga bila shaka atakuwa mshambuliaji, Malimi Busungu ambaye ameisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao wa jadi Simba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Simba, Yanga dimbani Taifa Oktoba 12
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza ratiba ya msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania (Bara), huku Simba na Yanga zikipangwa kukutana Oktoba 12 katika pambamo litakalopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
9 years ago
MichuziOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) YASEMA PATO LA TAIFA LIMEONGEZA KWA ASILIMIA 7.9
9 years ago
VijimamboOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) YASEMA PATO LA TAIFA LIMEONGEZA KWA AILIMIA 7.9
Na Dotto MwaibaleOFISI ya Taifa ya...
10 years ago
GPLSIMBA ILIVYOICHAKAZA YANGA LEO UWANJA WA TAIFA
Emmanuel Okwi wa Simba (kulia) akikwatuliwa na beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' katika mechi baina ya timu hizo leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Okwi. Abdi Banda wa Simba (kulia) akiondoka na mpira huku akikabwa na kiungo Haruna Niyonzima wa Yanga.…
10 years ago
GPLSIMBA, YANGA WATOKA SARE TAIFA, DAR
Kikosi cha timu ya Simba kilichoanza leo dhidi ya Yanga SC katika Uwanja wa Taifa Dar. Kikosi cha timu ya Yanga kilichonza dhidi ya Simba.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x9KBpl7z4r*IAaSOBAVEXkhIuNbb6nZwn9bS86lbfJ7z4SdEyweQrGEdAfgLnfG1a2YbBFo-kgQmqa5CxjgcJT-xh4j2lSY7/bloggerimage1609090308.jpg)
SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA YANGA TAIFA
Timu ya Simba SC imeshinda bao 2 – 0 dhidi ya Yanga SC kwenye mechi ya kirafiki ya Mtani Jembe 2 Uwanja wa taifa, Dar wafungaji Okwi na Maguri. VIKOSI VYA LEO YANGA VS SIMBA YANGA: Deo Dida, Abdul Juma, Oscar Joshua, Nadir Haroub Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Haruna Niyonzima, Emerson Roque, Simon Msuva, Kpah Sherman, Coutinho SIMBA: Ivo Mapunda, Nassor Chollo, Mohammed Hussein, Hassan Isihaka, Juuko Murishid, Jonas Mkude...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l6WiuXLsJq0/Xl9cNxjFxzI/AAAAAAALg14/nbfaHT9Igq8AnmLpKw0ov_C2kC9dWESgwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B09.48.29.jpeg)
Rais CAF kuwashuhudia Simba na Yanga Taifa
![](https://1.bp.blogspot.com/-l6WiuXLsJq0/Xl9cNxjFxzI/AAAAAAALg14/nbfaHT9Igq8AnmLpKw0ov_C2kC9dWESgwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B09.48.29.jpeg)
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmed Ahmed anatarajia kuwasili nchini Siku ya Jumamosi Machi 7 kwa mwaliko wa Rais wa TFF.
Ahmad anakuja nchini kwa kwa mara ya kwanza na ataishuhudia mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa Jumapili Machi 8, 2020 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Hii ni mara ya kwanza kwa Rais wa CAF kupata nafasi ya kuja nchini na kushuhudia mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayowahusisha watani wa jadi Yanga na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania