SIMBA, YANGA WATOKA SARE TAIFA, DAR
Kikosi cha timu ya Simba kilichoanza leo dhidi ya Yanga SC katika Uwanja wa Taifa Dar. Kikosi cha timu ya Yanga kilichonza dhidi ya Simba.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zv0e1bgizgKs311XYELG*h*KEL0AbMCKzB9AQOX4f0rFZypcw8dBGd4rbJgPu3t8cqTRaxmg4hx*p6rfEX*EUO0N0x6AoVPH/mrwanda.jpg?width=650)
YANGA VS AZAM NGOMA DROO, WATOKA SARE YA 2-2
Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda (kulia) akijaribu kumtoka beki wa Azam FC. Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akiwa kazini wakati wa mechi ya leo dhidi ya Azam FC. TIMU za Yanga na Azam FC leo zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao 2-2 kwenye mtanange wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Azam yamewekwa kimiani na Didier Kavumbagu katika dakika ya 5… ...
11 years ago
MichuziMTIBWA SUGAR WATOKA SARE YA BILA KUFUNGANA NA YANGA
Na MATUKIO NA VIJANA...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CbdxUoB3W8s/VdHqLzgDeJI/AAAAAAAD3f8/abK9gFePlTQ/s72-c/5e7058a54428aa5f960b1f0187cadd71.jpg)
TANZANIA DMV WATOKA SARE 2-2 NA ZAMBIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CbdxUoB3W8s/VdHqLzgDeJI/AAAAAAAD3f8/abK9gFePlTQ/s640/5e7058a54428aa5f960b1f0187cadd71.jpg)
10 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA COASTAL UNION TAIFA
Kikosi cha wachezaji wa Simba kilichoanza katika mchezo wa leo Kikosi cha wachezaji wa Coastal Union kilichoanza katika mchezo wa leo…
11 years ago
MichuziSIMBA NA YANGA ZATOSHANA NGUVU UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
Mshambuliaji wa timu ya Yanga , Hamis Kiiza (kulia) akiwania mpira na beki wa timu ya Simba, Nassor Masoud, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo.hadi mwisho wa mchezo,matokeni Yanga 1-1 Simba.
Mshamuliaji wa pembeni wa timu ya Yanga,Simon Msumva (kulia) akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Simba, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo.hadi mwisho wa mchezo,matokeni Yanga 1-1...
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Yanga yatoka sare,Simba yapeta
Yanga ikiwa ugenini huko Shinyanga ilikwenda sare ya mabao 2-2 na Mwadui Fc.
9 years ago
Habarileo13 Dec
Yanga, Simba, Azam zaambulia sare
VINARA wa Ligi Kuu Bara, Azam jana walilazimishwa sare ya mabao 2-2 na Simba katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MxSZ2uNgJ4o/XmUp4HNO_jI/AAAAAAALh-Y/01C2o3Ku2iAqeVCZXgpN55bGhlZvnaDRACLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-4-768x512.jpg)
RAIS DKT.MAGUFULI ASHUHUDIA YANGA IKIICHAPA 1-0 SIMBA SC UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-MxSZ2uNgJ4o/XmUp4HNO_jI/AAAAAAALh-Y/01C2o3Ku2iAqeVCZXgpN55bGhlZvnaDRACLcBGAsYHQ/s640/1AA-4-768x512.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Vijana, Sanaa na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Ali Karume pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu wakiwapungia mkono wa salamu kwa Wapenzi nan a Mashabiki waliojitokeza katika Mchezo wa Ligi kuu wa Watani wa jadi kati ya Yanga na Simba Uliochezwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Machi 08, 2020. Mchezo uliomalizika kwa Ushindi wa goli moja kwa Yanga...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-w-321q2XNK8/XmU2gaIewFI/AAAAAAACIYE/vMPCQwUEDM4hs1MbPb5JH0XeFVrm61XtQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI ASHUHUDIA YANGA IKIIBUGIZA SIMBA 1-0, UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-w-321q2XNK8/XmU2gaIewFI/AAAAAAACIYE/vMPCQwUEDM4hs1MbPb5JH0XeFVrm61XtQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-upxyNIq9zHI/XmU1WlKgb8I/AAAAAAACIXY/L7LvL_NTmK04AWjg1dSw8oMWRZIbqlNPwCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania