MTIBWA SUGAR WATOKA SARE YA BILA KUFUNGANA NA YANGA
Kikosi cha Timu ya Soka ya Mtibwa Sugar Iliyoanza Leo Dhidi Ya Yanga.
Waliosimama Kutoka Kushoto : Salum Mbonde,Dickson Daud,Abdalah Juma, Ally Shomary, Shaban Nditi,Walioinama Kutoka Kushoto : Vicent Barnabas, Said Mkopi,ShabanKisiga,Husein Ramadhan, Paul Ngalema
Kikosi cha Timu ya Yanga Kilichoanza Leo : Kutoka Kushoto Didier Kavumbangu, Haroub Canavaro,Khamis Kiiza,Oscar Joshua,Frank Domayo,Simon Msuva, Juma Abdul,Nizar Khalifan,Mbeleni Juma Kaseja.
Na MATUKIO NA VIJANA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA MTIBWA SUGAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zv0e1bgizgKs311XYELG*h*KEL0AbMCKzB9AQOX4f0rFZypcw8dBGd4rbJgPu3t8cqTRaxmg4hx*p6rfEX*EUO0N0x6AoVPH/mrwanda.jpg?width=650)
YANGA VS AZAM NGOMA DROO, WATOKA SARE YA 2-2
10 years ago
GPLSIMBA, YANGA WATOKA SARE TAIFA, DAR
11 years ago
MichuziSIMBA YAVUTWA SHATI NA MTIBWA SUGAR,YATOKA SARE YA BAO 1-1 MJINI MOROGORO LEO
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/s6FOf8W4TCY/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Azam ,Yanga na Mtibwa wakubali sare
10 years ago
Vijimambo21 Sep
YANGA YA MAXIMO YACHARAZWA 2-0 NA MTIBWA SUGAR JAMHURI…JAJA AKOSA PENALTI
![](http://shaffihdauda.com/wp-content/uploads/2014/09/yanga-team-1-640x320.jpg)
MBRAZIL Marcio Maximo amepoteza mechi yake ya kwanza akiiongoza Yanga baada ya kukubali kipigo ‘swaafi’ kabisa cha mabao 2-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar, uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro jioni hii.Katika mechi hiyo ya kukata na shoka, Mbrazil mwingine, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ naye ameweka rekodi ya kukosa mkwaju wa kwanza wa penalti akiichezea Yanga katika mechi yake ya kwanza ya ligi kuu.
Mabingwa hao wa 1999 na 2000 wakiongozwa na mwanafunzi wa zamani wa Maximo, Mecky...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 30 kwa mchezo mmoja wa kiporo kumaliziwa katika dimba la Azam Complex Mbande Chamazi. Huu ni mchezo ambao ulikuwa unakutanisha timu ambazo zinatafuta nafasi ya kusogelea kuelekea kileleni mwa msimamo wa Ligi. Mchezo wa December 30 ulikuwa unazikutanisha timu ya Azam FC dhidi ya klabu ya […]
The post Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30 appeared first on TZA_MillardAyo.