Yanga kuvunja mwiko Jamuhuri, MTIBWA SUGAR 0 - 2 YANGA Tar. 30/09/2015
![](http://img.youtube.com/vi/s6FOf8W4TCY/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMTIBWA SUGAR WATOKA SARE YA BILA KUFUNGANA NA YANGA
Na MATUKIO NA VIJANA...
10 years ago
Vijimambo21 Sep
YANGA YA MAXIMO YACHARAZWA 2-0 NA MTIBWA SUGAR JAMHURI…JAJA AKOSA PENALTI
![](http://shaffihdauda.com/wp-content/uploads/2014/09/yanga-team-1-640x320.jpg)
MBRAZIL Marcio Maximo amepoteza mechi yake ya kwanza akiiongoza Yanga baada ya kukubali kipigo ‘swaafi’ kabisa cha mabao 2-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar, uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro jioni hii.Katika mechi hiyo ya kukata na shoka, Mbrazil mwingine, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ naye ameweka rekodi ya kukosa mkwaju wa kwanza wa penalti akiichezea Yanga katika mechi yake ya kwanza ya ligi kuu.
Mabingwa hao wa 1999 na 2000 wakiongozwa na mwanafunzi wa zamani wa Maximo, Mecky...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 30 kwa mchezo mmoja wa kiporo kumaliziwa katika dimba la Azam Complex Mbande Chamazi. Huu ni mchezo ambao ulikuwa unakutanisha timu ambazo zinatafuta nafasi ya kusogelea kuelekea kileleni mwa msimamo wa Ligi. Mchezo wa December 30 ulikuwa unazikutanisha timu ya Azam FC dhidi ya klabu ya […]
The post Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30 appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Yanga yavunja mwiko
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Yanga yavunja mwiko Mbeya City
BAO la dakika ya 15 likifungwa na mshambuliaji Mrisho Halfan Ngasa, jana lilitosha kutibua rekodi ya timu ya Mbeya City ya kutofungwa tangu kuanza kwa Ligi Kuu ya Bara, Agosti...