Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yavunja mwiko

Mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga wameituliza Al Ahly ya Misri baada ya kuichapa bao 1-0 katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga yavunja mwiko Mbeya City

BAO la dakika ya 15 likifungwa na mshambuliaji Mrisho Halfan Ngasa, jana lilitosha kutibua rekodi ya timu ya Mbeya City ya kutofungwa tangu kuanza kwa Ligi Kuu ya Bara, Agosti...

 

9 years ago

Habarileo

Simba yavunja mwiko Tanga

TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilianza vizuri kampeni zake za Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga African Sports kwa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga yavunja mkataba na Niyonzima

NIYONZIMANEW4Haruna Niyonzima. Klaubu ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na kiungo wake wa kimataifa kutoka nchini Rwanda Haruna Niyonzima kutokana na utovu wa nidhamu ikiwemo kuchelewa kuripoti kambini na kutoipa kipaumbele klabu yake. Nahodha huyo wa Rwanda alichelewa kurejea kwenye klabu yake mara baada ya kumalizika kwa fainali za michuano ya Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati (CEFAFA Challenge Cup) iliyofanyika nchini Ethiopia. Afisa Habari wa Yanga, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari...

 

10 years ago

GPL

Maximo: Nitavunja mwiko

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
KOCHA wa Yanga, Marcio Maximo, amepewa ripoti kamili kuwa timu yake itafungua msimu wa 2014/15 kwa kukipiga na Mtibwa Sugar katika Ligi Kuu Bara, ambapo ameambiwa kuwa hao ni wapinzani wao wagumu na wameisumbua Yanga kwa miaka miwili iliyopita. Maximo ameipokea ripoti hiyo kwa mikono miwili na kusema kuwa, atauvunja mwiko huo wa kuwa Mtibwa ni wagumu na wameonekana kuwa kiboko...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Filamu ya ‘Mwiko’ yanukia sokoni

MUVI mpya ya kitanzania inayokwenda kwa jina la ‘Mwiko’ inatarajiwa kuingia sokoni mwanzoni mwa mwezi ujao, ikiwa imekusanya nyota kibao wanaotikisa katika tasnia hiyo. Mkurugenzi wa OJM Film Company, Omary...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Polisi: Lowassa mwiko mitaani

Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa akishuka kwenye daladala katika viunga vya Dar es Salaam, katika kujifunza shida na changamoto za maisha wanazokumbana nazo wananchi wa mji wa Dar es Salaam pia, ni sehemu […]

The post Polisi: Lowassa mwiko mitaani appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Stars kuvunja mwiko Algeria

Waswahili wanasema yaliyopita si ndwele, tugange yajayo, pia historia ni muhimu kwa ajili ya mustakabali wa mambo yanayokuja.

 

9 years ago

GPL

DAVIDO: FILAMU SASA, MWIKO KWANGU!

Lagos, Nigeria STAA wa Pop nchini Nigeria anayetamba na Wimbo wa Dodo, Davido, ameweka wazi msimamo wake wa kutotaka kuigiza filamu tena. Hivi karibuni staa huyo aliweka historia mpya ya kufanya vizuri kwenye moja ya filamu za Nigeria Nollywood aliyoigiza yenye jina la John Zerebe ikiandaliwa na binamu yake, Ikey Ojeogwu, Davido amesema kuwa, John Zerebe itakuwa ndiyo filamu yake ya kwanza na ya mwisho kwake kuigiza. Ameongeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani