Simba yavunja mwiko Tanga
TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilianza vizuri kampeni zake za Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga African Sports kwa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Yanga yavunja mwiko
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Yanga yavunja mwiko Mbeya City
BAO la dakika ya 15 likifungwa na mshambuliaji Mrisho Halfan Ngasa, jana lilitosha kutibua rekodi ya timu ya Mbeya City ya kutofungwa tangu kuanza kwa Ligi Kuu ya Bara, Agosti...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Niliyojionea Simba vs Mgambo JKT Tanga
“TULIKUWA tunamsikia tu Mzungu wa Simba. Kumbe ndie huyu, hana lolote,” alisikika mmoja wa mashabiki na wakazi wa Tanga wakati mechi ya maafande wa Mgambo JKT ya jijini hapa dhidi...
9 years ago
Habarileo10 Sep
Simba yaenda Tanga kufuata pointi sita
KIKOSI cha Simba kinatarajia kuondoka leo kwenda Tanga kwa ajili ya mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Jumamosi dhidi ya African Sports ya huko.
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Simba yatamba kubeba pointi sita Tanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, tayari wametua mkoani Tanga kamili kuchukua pointi sita ambapo wamepania kuanza kuzisaka kwa African Sports ‘Wana Kimanumanu’, wanaokutana nao kesho, Uwanja wa Mkwakwani.
Simba itacheza michezo miwili ikiwa mkoani humo, ambapo baada ya kumalizana na Wana kimanumanu hao itakaa kuwasubiria Mgambo JKT, ambayo watakutana nayo Septemba 16, kwenye uwanja huo.
Timu hiyo imeondoka jana, huku ikimkosa mchezaji Abdi Banda, ambaye atakuwa nje...
9 years ago
Mwananchi13 Sep
LIGI KUU BARA : Simba yafuta nuksi Tanga
10 years ago
GPLWACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA KATIKA MAZOEZI JIJINI TANGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*W*exTU75RhivrSnPLKvUmpZUDW3l19WLWV-jJzhIeZBKmfWWY2JmOYexxp8ZYk5*7GEYTLMOi-*oG7C5HZ5vUP/maximo.jpg)
Maximo: Nitavunja mwiko
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Filamu ya ‘Mwiko’ yanukia sokoni
MUVI mpya ya kitanzania inayokwenda kwa jina la ‘Mwiko’ inatarajiwa kuingia sokoni mwanzoni mwa mwezi ujao, ikiwa imekusanya nyota kibao wanaotikisa katika tasnia hiyo. Mkurugenzi wa OJM Film Company, Omary...