Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yavunja mwiko Tanga

TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilianza vizuri kampeni zake za Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga African Sports kwa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Yanga yavunja mwiko

Mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga wameituliza Al Ahly ya Misri baada ya kuichapa bao 1-0 katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga yavunja mwiko Mbeya City

BAO la dakika ya 15 likifungwa na mshambuliaji Mrisho Halfan Ngasa, jana lilitosha kutibua rekodi ya timu ya Mbeya City ya kutofungwa tangu kuanza kwa Ligi Kuu ya Bara, Agosti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Niliyojionea Simba vs Mgambo JKT Tanga

“TULIKUWA tunamsikia tu Mzungu wa Simba. Kumbe ndie huyu, hana lolote,” alisikika mmoja wa mashabiki na wakazi wa Tanga wakati mechi ya maafande wa Mgambo JKT ya jijini hapa dhidi...

 

9 years ago

Habarileo

Simba yaenda Tanga kufuata pointi sita

KIKOSI cha Simba kinatarajia kuondoka leo kwenda Tanga kwa ajili ya mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Jumamosi dhidi ya African Sports ya huko.

 

9 years ago

Mtanzania

Simba yatamba kubeba pointi sita Tanga

simba-sports-club12NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, tayari wametua mkoani Tanga kamili kuchukua pointi sita ambapo wamepania kuanza kuzisaka kwa African Sports ‘Wana Kimanumanu’, wanaokutana nao kesho, Uwanja wa Mkwakwani.

Simba itacheza michezo miwili ikiwa mkoani humo, ambapo baada ya kumalizana na Wana kimanumanu hao itakaa kuwasubiria Mgambo JKT, ambayo watakutana nayo Septemba 16, kwenye uwanja huo.

Timu hiyo imeondoka jana, huku ikimkosa mchezaji Abdi Banda, ambaye atakuwa nje...

 

9 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA : Simba yafuta nuksi Tanga

Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara ilianza vyema kwa klabu za Simba, Azam, Mtibwa, Kagera Sugar na Toto Africans ya Mwanza kushinda dhidi ya wapinzani wao.

 

10 years ago

GPL

WACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA KATIKA MAZOEZI JIJINI TANGA

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic (mwenye mpira) akitoa maelekezo kwa wachezaji wake katika mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Coastal union. Kiungo mshambuliaji wa Simba, Emannuel Okwi (katikati) akijaribu kumtoka kiungo wa timu hiyo, Jonas Mkude na beki, Hassani Kessy…

 

10 years ago

GPL

Maximo: Nitavunja mwiko

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
KOCHA wa Yanga, Marcio Maximo, amepewa ripoti kamili kuwa timu yake itafungua msimu wa 2014/15 kwa kukipiga na Mtibwa Sugar katika Ligi Kuu Bara, ambapo ameambiwa kuwa hao ni wapinzani wao wagumu na wameisumbua Yanga kwa miaka miwili iliyopita. Maximo ameipokea ripoti hiyo kwa mikono miwili na kusema kuwa, atauvunja mwiko huo wa kuwa Mtibwa ni wagumu na wameonekana kuwa kiboko...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Filamu ya ‘Mwiko’ yanukia sokoni

MUVI mpya ya kitanzania inayokwenda kwa jina la ‘Mwiko’ inatarajiwa kuingia sokoni mwanzoni mwa mwezi ujao, ikiwa imekusanya nyota kibao wanaotikisa katika tasnia hiyo. Mkurugenzi wa OJM Film Company, Omary...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani