Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Niliyojionea Simba vs Mgambo JKT Tanga

“TULIKUWA tunamsikia tu Mzungu wa Simba. Kumbe ndie huyu, hana lolote,” alisikika mmoja wa mashabiki na wakazi wa Tanga wakati mechi ya maafande wa Mgambo JKT ya jijini hapa dhidi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAGERA SUGAR WAIFUATA MGAMBO JKT MJINI TANGA

Na Faustine Ruta, BukobaKikosi cha Timu ya Wakata Miwa Kagera Sugar wameanza leo hii safari  kuelekea jijini Tanga kwa ajili ya mchezo wa ufunguzi wa Ligi kuu soka Tanzania bara katika uwanja wa CCM Mkwakwani dhidi ya wenyeji Mgambo JKT, septemba 20 mwaka huu.Kocha msaidizi wa Kagera Sugar, Murage Kabange amesema klabu hiyo ina jumla ya wachezaji 25 na hii leo tayari wapo safari na  viongozi watano kwenda kusaka pointi tatu muhimu.Kabange aliongeza kuwa wameamua kuanza safari mapema...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA WALIPA KISASI MRA MBILI KWA WAFUNGA BUTI WA KAMBI YA MGAMBO JKT

Mshambuliaji Emmanuel Okwi ya Simba, ametoa yake ya moyoni kuhusiana na kikosi chake kuwa na mwendo wa kuyumba.Okwi raia wa Uganda amefunga mabao matatu, hat trick na kuisaidia Simba kuiadhibu Mgambo Shooting kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.Akizungumza na SALEHJEMBE baada ya mchezo huo, Okwi aliwataka mashabiki kuendelea kuwaunga mkono ili washinde zaidi kwa kuwa si nia yao kupoteza.“Kweli matokeo yetu yamekuwa si mazuri, hatuna mwendo mzuri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukata waitesa Mgambo JKT

KOCHA Mkuu wa timu ya Mgambo JKT, Bakari Shime, amesema ukata wa fedha kwa timu yao umekuwa kikwazo kwa benchi la ufundi kutimiza program za kusuka vizuri kikosi ikiwemo kupata...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kocha Mgambo JKT aongezewa mkataba

KOCHA wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amekubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuinoa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Shime aliyeichukua timu hiyo...

 

9 years ago

Michuzi

MBEYA CITY NA MGAMBO JKT ZATOKA NGOMA DROO 1-1

 Mbeya city yatoka sale na Mgambo Jkt kwa mabao ya goli 1-1  ambapo  Goli la Timu ya Mbeya City Fc lilifungwa na Abdalla Juma Dakika ya 30 huku Fully Zullu Maganga akisawazisha na kuipatia Goli Timu ya Mgambo Jkt Dakika ya 71 katika Mtanange uliochezwa katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya  katika  muendelezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.Kikosi cha Timu ya Mgambo Jkt katika Picha ya Pamoja Kabla ya mechi kuanza.Kikosi cha Timu ya Mbeya City Wakoma Kumwanya.Mashabiki wa Timu ya Mbeya...

 

9 years ago

Habarileo

Mgambo waipania Yanga Tanga

KOCHA Bakari Shime wa Mgambo JKT, amesema amekiandaa kikosi chake kuweka rekodi msimu huu kwa kuwa timu ya kwanza kuwafunga mabingwa watetezi Yanga katika pambano la Ligi Kuu litakalopigwa Mkwakwani Desemba 12.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani