Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMBA WALIPA KISASI MRA MBILI KWA WAFUNGA BUTI WA KAMBI YA MGAMBO JKT

Mshambuliaji Emmanuel Okwi ya Simba, ametoa yake ya moyoni kuhusiana na kikosi chake kuwa na mwendo wa kuyumba.Okwi raia wa Uganda amefunga mabao matatu, hat trick na kuisaidia Simba kuiadhibu Mgambo Shooting kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.Akizungumza na SALEHJEMBE baada ya mchezo huo, Okwi aliwataka mashabiki kuendelea kuwaunga mkono ili washinde zaidi kwa kuwa si nia yao kupoteza.“Kweli matokeo yetu yamekuwa si mazuri, hatuna mwendo mzuri...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Niliyojionea Simba vs Mgambo JKT Tanga

“TULIKUWA tunamsikia tu Mzungu wa Simba. Kumbe ndie huyu, hana lolote,” alisikika mmoja wa mashabiki na wakazi wa Tanga wakati mechi ya maafande wa Mgambo JKT ya jijini hapa dhidi...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Mgambo hukumbuka buti dakika za majeruhi

Unahitaji roho ya ajabu kuwa shabiki wa damu wa timu ya Mgambo ya Tanga. Kwa msimu wa pili mfululizo imefanikiwa ‘kuondoka katika chumba cha wagonjwa mahututi sekunde chache kabla ya daktari hajakata tamaa’.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aua mgambo kulipiza kisasi

JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikilia Elias Balandese na Faustine Fidel kwa tuhuma za mauaji ya askari mgambo, Shabani Mbadi mkazi wa Kijiji cha Nyamidaho wilayani Kasulu kwa kumchoma na...

 

10 years ago

GPL

SIMBA SC YAANGUKIA PUA KWA MGAMBO SHOOTING

Kikosi cha timu ya Mgambo Shooting ya Tanga wakionekana katika picha ya pamoja wakati wa mechi yao dhidi ya Simba Sc ya Dar es Salaam. Kikosi cha timu ya Simba Sc. Mashabiki wa timu ya Simba Sc wakiduwaa baada ya timu yao kupokea kichapo cha bao 2-0 kutoka kwa Mgambo…

 

11 years ago

Michuzi

Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0

Mchezaji wa Timu ya JKT Ruvu,Emmanuel Switta akimpeleka markiti Golikipa wa timu ya Simba, Yaw Berko kwa mkwaju mkali wa Penati na kuiandikia timu yake bao la pili katika Mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara,unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.hadi mapumziko Simba wamelala kwa Bao 2 - 0.kipindi cha pili kimeanza hivi punde na tutaendelea kujuzana kinachojili.
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukata waitesa Mgambo JKT

KOCHA Mkuu wa timu ya Mgambo JKT, Bakari Shime, amesema ukata wa fedha kwa timu yao umekuwa kikwazo kwa benchi la ufundi kutimiza program za kusuka vizuri kikosi ikiwemo kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani