Simba yaenda Tanga kufuata pointi sita
KIKOSI cha Simba kinatarajia kuondoka leo kwenda Tanga kwa ajili ya mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Jumamosi dhidi ya African Sports ya huko.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Simba yatamba kubeba pointi sita Tanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, tayari wametua mkoani Tanga kamili kuchukua pointi sita ambapo wamepania kuanza kuzisaka kwa African Sports ‘Wana Kimanumanu’, wanaokutana nao kesho, Uwanja wa Mkwakwani.
Simba itacheza michezo miwili ikiwa mkoani humo, ambapo baada ya kumalizana na Wana kimanumanu hao itakaa kuwasubiria Mgambo JKT, ambayo watakutana nayo Septemba 16, kwenye uwanja huo.
Timu hiyo imeondoka jana, huku ikimkosa mchezaji Abdi Banda, ambaye atakuwa nje...
9 years ago
Habarileo10 Dec
Yanga yaenda kamili Tanga
MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga leo wanaianza safari ya kwenda Tanga kusaka pointi sita muhimu. Yanga itakuwa na mechi na Mgambo Shooting keshokutwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kabla ya kumenyana na African Sports Jumatano ijayo kwenye uwanja huohuo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS2HpLClOpFelCZOQF5XkIrxZicilkx3BnbeEGYF42s17NBY86tK*02yhquBmhY8-Ab-CEsRYJ-w*zl95MRsSWbI/simba.jpg?width=650)
Simba yapokwa pointi 10
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Simba yaenda Morogoro kuivaa Mtibwa Sugar kesho
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Nkwabi: Pointi tatu muhimu Simba
MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa klabu ya Simba, Swedi Nkwabi, amezindua rasmi kampeni zake huku kubwa ikiwa ni pointi tatu ndiyo sababu ya kuwania nafasi hiyo. Swedi, mgombea...
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Pointi tatu kuitoa roho Simba SC
10 years ago
MichuziWACHEZAJI WA SIMBA KAMILI YAENDA ZANZIBAR KUWEKA KAMBI YA MAZOEZI
10 years ago
Mwananchi06 Oct
‘Mfumo uliwanyima Simba kupata pointi tatu’
10 years ago
Vijimambo16 Oct
MROPE: HALI MBAYA IMENIKIMBIZA STAND UNITED, WACHEZAJI SITA WAMETIMKA, WENGINE ZAIDI KUFUATA…
![](http://shaffihdauda.com/wp-content/uploads/2014/10/s3.png)