WACHEZAJI WA SIMBA KAMILI YAENDA ZANZIBAR KUWEKA KAMBI YA MAZOEZI
Baadhi ya wachezaji wa Simba wakielekea kupanda boti katika Bandari ya Dar es Salaam, kwa ajili ya safari ya kwenda Zanzibar kwenye kambi ya mazoezi ya kujiandaa na Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, inayotarajiwa kuanzai hivi karibuni. (Picha na Francis Dande)
Baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwa wamepozi kwa picha.
Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe (wa pili kushoto) akiwa na wachezaji wenzake.
Wachezaji wa Simba wakiwa wamepozi kwa picha.
Baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwa katika boti kabla...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA KATIKA MAZOEZI JIJINI TANGA
10 years ago
Mtanzania30 Jan
Wazee Simba kuvamia kambi ya wachezaji
MWALI IBRAHIM NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
BAADA ya Simba kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City juzi, wazee wa klabu hiyo wameshindwa kuvumilia na kuamua kupanga kutinga kwenye kambi ya timu hiyo iliyopo Ndege Beach Dar es Salaam, ili kuzungumza na wachezaji kujua tatizo linalosababisha kuvurunda katika ligi.
Simba msimu huu imeshindwa kufanya vema katika mechi zake mbalimbali za ligi, ambapo kwa sasa inashika nafasi ya 11 kwenye msimamo hali ambayo imewakasirisha kwa kiasi...
9 years ago
Habarileo10 Dec
Yanga yaenda kamili Tanga
MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga leo wanaianza safari ya kwenda Tanga kusaka pointi sita muhimu. Yanga itakuwa na mechi na Mgambo Shooting keshokutwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kabla ya kumenyana na African Sports Jumatano ijayo kwenye uwanja huohuo.
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …
Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]
The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1nAadvkqLAJTbYpTVPe9KRx7ITGD-2OkY9HegPHD2yFhw2avvsc7e7rDQMuc3kuzANKU69hF*7xYsPcGuYjO3V/aza.jpg?width=650)
Azam kuweka kambi Hispania
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Stars kuweka kambi Uturuki
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuaondoka nchini Agosti 23 kwenda Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kujiandaa na mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika mwaka (Afcon) 2017 nchini Gabon dhidi ya Nigeria.
Stars inatarajia kucheza mchezo wao wa pili wa kufuzu Afcon dhidi ya Nigeria Septemba 5 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Awali Stars ilicheza na Misri na kufungwa mabao 3-1 ugenini wakiwa chini ya kocha Mholanzi Mart Nooij ambae...
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Uchina kuweka kambi ya kijeshi Djibouti
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Red Arrow FC kuweka kambi Tanzania
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6da0yh1N6Y2LCSgshJ9O0bJskgOc4fS3AT7y8NYBZ*tFproy1piNomQheNiIE-siVW*gAQiV*7cPRvhEOiCWneZ9/YANGAAAA.gif?width=650)
Yanga SC yakubali kuweka kambi Chamazi