Red Arrow FC kuweka kambi Tanzania
Klabu ya Red Arrow FC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Zambiaitaweka kambi ya mafunzo kwa wiki moja kujindaa na Ligi Kuu nchini humo 2015.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VcRAlZQx_b0/VN0CBpnvzKI/AAAAAAAHDWw/Jb-3kxkXXTk/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
RED ARROWS FC YA ZAMBIA KUWEKA KAMBI NCHINI
Uongozi wa klabu hiyo chini ya mwenyekiti wake Col Nolacso K Chilando ulifika leo makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania - TFF sambamba na Afisa habari wa klabu Lt Col Melody Siisii, Bw Alex Chila ofisa ubalozi wa Zambia nchini Tanzania...
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Timu ya Red Arrow ya Zambia kurudi kwao baada ya ziara ya wiki moja nchini
Afisa habari wa timu ya Red Arrow Football Club ya Zambia Bi.Melody Siisii (kushoto)akiwa kwenye picha ya pamoja na timu yake uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Dar Es Salaam jana, tayari kurudi Zambia mara baada ya ziara ya wiki moja nchini ya maandalizi ya ligi yao inayotarajiwa kuanza mwezi ujao.
Timu ya Red Arrow Football Club ya Zambia inayoshiriki ligi kuu nchini Zambia, wakiwa kwenye picha ya pamoja na wahudumu wa ndege ya Fastjet uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar...
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Tanzania:Azam Fc kuweka Kambi Dr Congo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EOhtSXQjts8/VZLfjBjmXJI/AAAAAAAHl-Q/D_5gG5bjdko/s72-c/MOHAMED-HABIB-JUMA-MNYAA-225x272.jpg)
MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA BENKI YA POSTA TANZANIA (KUFUTA NA KUWEKA MASHARTI YA MPITO), 2015 (THE TANZANIA POSTAL BANK {REPEAL AND TRANSITIONAL PROVISION} ACT, 2015)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EOhtSXQjts8/VZLfjBjmXJI/AAAAAAAHl-Q/D_5gG5bjdko/s640/MOHAMED-HABIB-JUMA-MNYAA-225x272.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Stars kuweka kambi Uturuki
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuaondoka nchini Agosti 23 kwenda Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kujiandaa na mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika mwaka (Afcon) 2017 nchini Gabon dhidi ya Nigeria.
Stars inatarajia kucheza mchezo wao wa pili wa kufuzu Afcon dhidi ya Nigeria Septemba 5 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Awali Stars ilicheza na Misri na kufungwa mabao 3-1 ugenini wakiwa chini ya kocha Mholanzi Mart Nooij ambae...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1nAadvkqLAJTbYpTVPe9KRx7ITGD-2OkY9HegPHD2yFhw2avvsc7e7rDQMuc3kuzANKU69hF*7xYsPcGuYjO3V/aza.jpg?width=650)
Azam kuweka kambi Hispania
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Uchina kuweka kambi ya kijeshi Djibouti
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6da0yh1N6Y2LCSgshJ9O0bJskgOc4fS3AT7y8NYBZ*tFproy1piNomQheNiIE-siVW*gAQiV*7cPRvhEOiCWneZ9/YANGAAAA.gif?width=650)
Yanga SC yakubali kuweka kambi Chamazi
9 years ago
Bongo511 Dec
Kayumba wa BSS kuweka kambi Afrika Kusini
![Kayumba akikabidhiwa zawadi kutoka kwa wadhamini wa shindano hilo.](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Kayumba-akikabidhiwa-zawadi-kutoka-kwa-wadhamini-wa-shindano-hilo.-300x194.jpg)
Mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Kayumba Juma anasafiri usiku wa Ijumaa hii kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi ya video ya wimbo wake mpya.
Muimbaji huyo ambaye alijinyakulia kitita cha shilingi milioni 60 baada ya kuibuka mshindi katika kinyang’anyiro hicho kilichokuwa na ushindani mkubwa, atasafiri akiwa pamoja na timu ya BSS ikiongozwa na mkurugenzi wake Madam Rita.
Akizungumza na Bongo5 leo mmoja kati ya viongozi wa msanii huyo, Said Fella, amesema kila...