Stars kuweka kambi Uturuki
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuaondoka nchini Agosti 23 kwenda Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kujiandaa na mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika mwaka (Afcon) 2017 nchini Gabon dhidi ya Nigeria.
Stars inatarajia kucheza mchezo wao wa pili wa kufuzu Afcon dhidi ya Nigeria Septemba 5 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Awali Stars ilicheza na Misri na kufungwa mabao 3-1 ugenini wakiwa chini ya kocha Mholanzi Mart Nooij ambae...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi31 Aug
STARS YAMALIZA KAMBI UTURUKI
![](http://tff.or.tz/images/jumaA.png)
![](http://tff.or.tz/images/starskartepe.png)
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Taifa stars kupiga kambi Uturuki
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Taifa Stars kuweka kambi Afrika Kusini kujiandaa na Algeria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1nAadvkqLAJTbYpTVPe9KRx7ITGD-2OkY9HegPHD2yFhw2avvsc7e7rDQMuc3kuzANKU69hF*7xYsPcGuYjO3V/aza.jpg?width=650)
Azam kuweka kambi Hispania
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6da0yh1N6Y2LCSgshJ9O0bJskgOc4fS3AT7y8NYBZ*tFproy1piNomQheNiIE-siVW*gAQiV*7cPRvhEOiCWneZ9/YANGAAAA.gif?width=650)
Yanga SC yakubali kuweka kambi Chamazi
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Tanzania:Azam Fc kuweka Kambi Dr Congo
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Red Arrow FC kuweka kambi Tanzania
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Uchina kuweka kambi ya kijeshi Djibouti
9 years ago
Habarileo27 Aug
Mkwasa atambia kambi Uturuki
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa amesema anaamini kambi ya Uturuki itawapika wachezaji wake vya kutosha kuikabili Nigeria. Stars ipo Uturuki tangu mwishoni mwa wiki iliyopita na itarejea nchini siku chache kabla ya kuivaa Nigeria jijini Dar es Salaam Septemba 5 mwaka huu.